Mossad kamwe haitawahi kumuua Sinwar

Mossad kamwe haitawahi kumuua Sinwar

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Israel Mossad wanajua vizuri Yahya Sinwar alipo movements zake lakini kamwe hawataweza kuua na kumuangamiza kwasababu kazungukwa na mateka wayahudi hasa watoto na wanawake.

Sinwar ni intelligent sana kwa njia hiyo kashaishi na wateule nakujua udhaifu wao.

Anajua wazi hawawezi kumshambulia akiwa na the "diamonds" wamemzunguka na ndio pona yake.

Sinwar anaendelea kuishi kwasababu ya hao mateka.

Kwenye lile shambulio la Mohammed Deif lilifanyika baada ya wateule kujiridhisha hamna mateka eneo lile.

Yesu Mungu leta amani na Allah mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
 
Israel Mossad wanajuwa vizuri Yahya Sinwar alipo movements zake lakini kamwe hawataweza kuua na kumuangamiza. Kwasababu kazungukwa na mateka wayahudi hasa watoto na wanawake.

Sinwar ni intelligent sana kwa njia hiyo kashaish na wateule nakujua udhaifu wao.

Anajua wazi hawawezi kumshambulia akiwa na the "diamonds" wamemzunguka na ndio pona yake.

Sinwar anaendelea kuishi kwasababu ya hao mateka.

Kwenye lile shambulio la Mohammed Deif lilifanyika baada ya wateule kujiridhisha hamna mateka eneo lile.

Yesu Mungu leta amani na Allah mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
Leo haneya wamekula kichwa
 
Israel Mossad wanajua vizuri Yahya Sinwar alipo movements zake lakini kamwe hawataweza kuua na kumuangamiza kwasababu kazungukwa na mateka wayahudi hasa watoto na wanawake.

Sinwar ni intelligent sana kwa njia hiyo kashaishi na wateule nakujua udhaifu wao.

Anajua wazi hawawezi kumshambulia akiwa na the "diamonds" wamemzunguka na ndio pona yake.

Sinwar anaendelea kuishi kwasababu ya hao mateka.

Kwenye lile shambulio la Mohammed Deif lilifanyika baada ya wateule kujiridhisha hamna mateka eneo lile.

Yesu Mungu leta amani na Allah mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
Sinawar kuna siku ataenda kutomba au kupiga nyeto kama yule wa Hezbolla.

Hata Haniyya ukute kauliwa na Manzi
 
Israel Mossad wanajua vizuri Yahya Sinwar alipo movements zake lakini kamwe hawataweza kuua na kumuangamiza kwasababu kazungukwa na mateka wayahudi hasa watoto na wanawake.

Sinwar ni intelligent sana kwa njia hiyo kashaishi na wateule nakujua udhaifu wao.

Anajua wazi hawawezi kumshambulia akiwa na the "diamonds" wamemzunguka na ndio pona yake.

Sinwar anaendelea kuishi kwasababu ya hao mateka.

Kwenye lile shambulio la Mohammed Deif lilifanyika baada ya wateule kujiridhisha hamna mateka eneo lile.

Yesu Mungu leta amani na Allah mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
uungu wa Yesu umeanza lini acha kumzushia
 
Israel Mossad wanajua vizuri Yahya Sinwar alipo movements zake lakini kamwe hawataweza kuua na kumuangamiza kwasababu kazungukwa na mateka wayahudi hasa watoto na wanawake.

Sinwar ni intelligent sana kwa njia hiyo kashaishi na wateule nakujua udhaifu wao.

Anajua wazi hawawezi kumshambulia akiwa na the "diamonds" wamemzunguka na ndio pona yake.

Sinwar anaendelea kuishi kwasababu ya hao mateka.

Kwenye lile shambulio la Mohammed Deif lilifanyika baada ya wateule kujiridhisha hamna mateka eneo lile.

Yesu Mungu leta amani na Allah mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
hawatamuua kwasababu amezungukwa na mateka wa kiisrael, wakimuua yeye wameuwa watu wao. ika bila ivyo, Ismail Haniyeh ndio alikuwa mgumu kuliko wote kwasababu alikuwa na hadhi ya kidiplomasia analindwa na nchi, na ni tajiri wa kutupwa ana 4b usd. hata hivyo, kuuana dio dili, wafikia muafaka tu yaishe.
 
Israel Mossad wanajua vizuri Yahya Sinwar alipo movements zake lakini kamwe hawataweza kuua na kumuangamiza kwasababu kazungukwa na mateka wayahudi hasa watoto na wanawake.

Sinwar ni intelligent sana kwa njia hiyo kashaishi na wateule nakujua udhaifu wao.

Anajua wazi hawawezi kumshambulia akiwa na the "diamonds" wamemzunguka na ndio pona yake.

Sinwar anaendelea kuishi kwasababu ya hao mateka.

Kwenye lile shambulio la Mohammed Deif lilifanyika baada ya wateule kujiridhisha hamna mateka eneo lile.

Yesu Mungu leta amani na Allah mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.

Ahead of hostage release, PM says Mossad has orders to target Hamas chiefs everywhere​

In televised press conference after cabinet okays truce deal, Netanyahu, Gallant, Gantz say fighting to continue until Hamas destroyed, all hostages freed​

 
Sinwar Tatizo lake Yeye Anavaa Vibusta na kandambili na Tishrt Mbovu mbovu Alafu Juu ana kibegi Kichafu Chafu IDF ikisema raia hameni Upande huu Yeye Huyo Mdogo mdgo Kwa hiyo Mpaka kumjua Mpka umsogelee Karibu ndio utamgundua masikio yake Marefu
 
Israel Mossad wanajua vizuri Yahya Sinwar alipo movements zake lakini kamwe hawataweza kuua na kumuangamiza kwasababu kazungukwa na mateka wayahudi hasa watoto na wanawake.

Sinwar ni intelligent sana kwa njia hiyo kashaishi na wateule nakujua udhaifu wao.

Anajua wazi hawawezi kumshambulia akiwa na the "diamonds" wamemzunguka na ndio pona yake.

Sinwar anaendelea kuishi kwasababu ya hao mateka.

Kwenye lile shambulio la Mohammed Deif lilifanyika baada ya wateule kujiridhisha hamna mateka eneo lile.

Yesu Mungu leta amani na Allah mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
Screenshot_2024-10-17-21-30-47-653_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2024-10-17-21-26-48-265_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2024-10-17-20-50-31-166_com.twitter.android~3.jpg
Screenshot_2024-10-17-20-50-41-579_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-17-20-50-31-166_com.twitter.android~2.jpg
 
Back
Top Bottom