The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Israel Mossad wanajua vizuri Yahya Sinwar alipo movements zake lakini kamwe hawataweza kuua na kumuangamiza kwasababu kazungukwa na mateka wayahudi hasa watoto na wanawake.
Sinwar ni intelligent sana kwa njia hiyo kashaishi na wateule nakujua udhaifu wao.
Anajua wazi hawawezi kumshambulia akiwa na the "diamonds" wamemzunguka na ndio pona yake.
Sinwar anaendelea kuishi kwasababu ya hao mateka.
Kwenye lile shambulio la Mohammed Deif lilifanyika baada ya wateule kujiridhisha hamna mateka eneo lile.
Yesu Mungu leta amani na Allah mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
Sinwar ni intelligent sana kwa njia hiyo kashaishi na wateule nakujua udhaifu wao.
Anajua wazi hawawezi kumshambulia akiwa na the "diamonds" wamemzunguka na ndio pona yake.
Sinwar anaendelea kuishi kwasababu ya hao mateka.
Kwenye lile shambulio la Mohammed Deif lilifanyika baada ya wateule kujiridhisha hamna mateka eneo lile.
Yesu Mungu leta amani na Allah mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.