Mossad kamwe haitawahi kumuua Sinwar

Mossad kamwe haitawahi kumuua Sinwar

Israel Mossad wanajua vizuri Yahya Sinwar alipo movements zake lakini kamwe hawataweza kuua na kumuangamiza kwasababu kazungukwa na mateka wayahudi hasa watoto na wanawake.

Sinwar ni intelligent sana kwa njia hiyo kashaishi na wateule nakujua udhaifu wao.

Anajua wazi hawawezi kumshambulia akiwa na the "diamonds" wamemzunguka na ndio pona yake.

Sinwar anaendelea kuishi kwasababu ya hao mateka.

Kwenye lile shambulio la Mohammed Deif lilifanyika baada ya wateule kujiridhisha hamna mateka eneo lile.

Yesu Mungu leta amani na Allah mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
Angeonjaa hii wasingemwonaa wala.kumwuuuaaa ndioo hirizizetyu hizi
 

Attachments

  • Screenshot_20240311_133144_Instagram Lite.jpg
    Screenshot_20240311_133144_Instagram Lite.jpg
    323.4 KB · Views: 3
  • 2021-06-02.jpg
    2021-06-02.jpg
    42.4 KB · Views: 4
  • 2023-06-11.jpg
    2023-06-11.jpg
    30 KB · Views: 3
Israel Mossad wanajua vizuri Yahya Sinwar alipo movements zake lakini kamwe hawataweza kuua na kumuangamiza kwasababu kazungukwa na mateka wayahudi hasa watoto na wanawake.

Sinwar ni intelligent sana kwa njia hiyo kashaishi na wateule nakujua udhaifu wao.

Anajua wazi hawawezi kumshambulia akiwa na the "diamonds" wamemzunguka na ndio pona yake.

Sinwar anaendelea kuishi kwasababu ya hao mateka.

Kwenye lile shambulio la Mohammed Deif lilifanyika baada ya wateule kujiridhisha hamna mateka eneo lile.

Yesu Mungu leta amani na Allah mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
chrome_screenshot_Oct 17, 2024 11_23_00 PM GMT+03_00.png
 
Nauliza tu Kwa sababu naona Wayahudi wanauwa viongozi wa Hamas, Hezbollah na Iran kama hawana Akili nzuri

Nadhani sasa wamebaki Wawili tu Ayatollah Ali Khamenei na Qasma wa Hezbollah

Mlale Unono 😀
Waonjee hiii kama watakamatwa ngrooongroò ulinzitoshhaa nawapasiri weka mifupayake mlangoni hatasehtan haptic...na dirishani paka na kitunguuswaumu
 

Attachments

  • Screenshot_20240311_133144_Instagram Lite.jpg
    Screenshot_20240311_133144_Instagram Lite.jpg
    323.4 KB · Views: 4
  • 2021-06-02.jpg
    2021-06-02.jpg
    42.4 KB · Views: 4
Huyu ndio kafa kifala sana,maana mpaka maiti yake Israel wameondoka nayo. Hii maiti Israel itaitumia kama bargaining power ya kurudisha mateka.
Hawataenda kumchukua watamwacha huko huko,sidhani kama mateka hao wapo hai maana inawezekana vipi viongozi wanatangulia mbele ya haki na mateka hawapatikani,hao inawezekana wameshaua mateka day one , sidhani kama mateka wapo hai
 
Kama ujala kitimoto leooo
kwa hikitangazoo agiza wine nakujakulipa
"𝘠𝘢𝘩𝘺𝘦𝘳 𝘚𝘪𝘯𝘸𝘢𝘳 𝘸𝘢𝘴 𝘢𝘯 𝘪𝘯𝘴𝘶𝘳𝘮𝘰𝘶𝘯𝘵𝘢𝘣𝘭𝘦 𝘰𝘣𝘴𝘵𝘢𝘤𝘭𝘦 𝘵𝘰 𝘢𝘤𝘩𝘪𝘦𝘷𝘪𝘯𝘨 𝘢𝘭𝘭 𝘰𝘧 𝘵𝘩𝘰𝘴𝘦 𝘨𝘰𝘢𝘭𝘴. 𝘛𝘩𝘢𝘵 𝘰𝘣𝘴𝘵𝘢𝘤𝘭𝘦 𝘯𝘰 𝘭𝘰𝘯𝘨𝘦𝘳 𝘦𝘹𝘪𝘴𝘵𝘴. 𝘉𝘶𝘵 𝘮𝘶𝘤𝘩 𝘸𝘰𝘳𝘬 𝘳𝘦𝘮𝘢𝘪𝘯𝘴 𝘣𝘦𝘧𝘰𝘳𝘦 𝘶𝘴"

Hakika mwamba alikuwa msumbufu sana
 
Israel Mossad wanajua vizuri Yahya Sinwar alipo movements zake lakini kamwe hawataweza kuua na kumuangamiza kwasababu kazungukwa na mateka wayahudi hasa watoto na wanawake.

Sinwar ni intelligent sana kwa njia hiyo kashaishi na wateule nakujua udhaifu wao.

Anajua wazi hawawezi kumshambulia akiwa na the "diamonds" wamemzunguka na ndio pona yake.

Sinwar anaendelea kuishi kwasababu ya hao mateka.

Kwenye lile shambulio la Mohammed Deif lilifanyika baada ya wateule kujiridhisha hamna mateka eneo lile.

Yesu Mungu leta amani na Allah mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
Aisee
 
Israel Mossad wanajua vizuri Yahya Sinwar alipo movements zake lakini kamwe hawataweza kuua na kumuangamiza kwasababu kazungukwa na mateka wayahudi hasa watoto na wanawake.

Sinwar ni intelligent sana kwa njia hiyo kashaishi na wateule nakujua udhaifu wao.

Anajua wazi hawawezi kumshambulia akiwa na the "diamonds" wamemzunguka na ndio pona yake.

Sinwar anaendelea kuishi kwasababu ya hao mateka.

Kwenye lile shambulio la Mohammed Deif lilifanyika baada ya wateule kujiridhisha hamna mateka eneo lile.

Yesu Mungu leta amani na Allah mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
Hebu rudia tena.
 
Back
Top Bottom