Mossad: Nguzo imara nyuma ya ustawi wa taifa la ISRAEL dhidi ya hila za SYRIA.

Mossad: Nguzo imara nyuma ya ustawi wa taifa la ISRAEL dhidi ya hila za SYRIA.

Usisahau pia Mossad hata wewe watakutoa kizazi siku ukikanyaga Israeli, kama wanavyowafanyia watu weusi wote wenye asili ya Afrika waishio Israeli, na Waisraeli wanatuchukia sisi watu weusi zaidi kuliko binadamu yoyote yule, hivyo usijidaganye ukiona wanapigana na Waarabu ukafikiri wewe wanakupenda, ukiwauliza Waisraeli wachague kati ya Msyria na Muafrika kama mimi na wewe watachagua Msyria, na ndiyo maana hakuna Mwarabu aliyetolewa kizazi Israeli lkn Waafrika wote wamedungwa sindano na Mosad!

Boss, Lengo la hii habari si hilo ulilokuja nalo hapa. Hii habari ina lengo la kutoa taarifa kwa uma, na kuburudisha wale wote ambao ni wapenzi wa simulizi za kweli kijasusi ambazo zimepata kutokea katika dunia hii toka kuumbwa kwake. Kwa ulichokiandika hapa, ni vyema ukaenda kuanzisha uzi wako ambao unaelezea hayo uliyoyaandika kwa kina.
 
Boss, Lengo la hii habari si hilo ulilokuja nalo hapa. Hii habari ina lengo la kutoa taarifa kwa uma, na kuburudisha wale wote ambao ni wapenzi wa simulizi za kweli kijasusi ambazo zimepata kutokea katika dunia hii toka kuumbwa kwake. Kwa ulichokiandika hapa, ni vyema ukaenda kuanzisha uzi wako ambao unaelezea hayo uliyoyaandika kwa kina.
Achana na uyo mpuuzi wa Lumumba anatupotezea muda tu. Tunasubiri nondo mkuu
 
Usisahau pia Mossad hata wewe watakutoa kizazi siku ukikanyaga Israeli, kama wanavyowafanyia watu weusi wote wenye asili ya Afrika waishio Israeli, na Waisraeli wanatuchukia sisi watu weusi zaidi kuliko binadamu yoyote yule, hivyo usijidaganye ukiona wanapigana na Waarabu ukafikiri wewe wanakupenda, ukiwauliza Waisraeli wachague kati ya Msyria na Muafrika kama mimi na wewe watachagua Msyria, na ndiyo maana hakuna Mwarabu aliyetolewa kizazi Israeli lkn Waafrika wote wamedungwa sindano na Mosad!
Duh! Inamaana hawa jamaa nao ni wabaguzi kuliko waarab na wazungu?? Watu weusi kweli kazi tunayo
 
Boss, Lengo la hii habari si hilo ulilokuja nalo hapa. Hii habari ina lengo la kutoa taarifa kwa uma, na kuburudisha wale wote ambao ni wapenzi wa simulizi za kweli kijasusi ambazo zimepata kutokea katika dunia hii toka kuumbwa kwake. Kwa ulichokiandika hapa, ni vyema ukaenda kuanzisha uzi wako ambao unaelezea hayo uliyoyaandika kwa kina.
tuletee na habari ya Mr X wa MOSSAD pia,huwa sielewi manake lugha inanpga chenga
 
Usisahau pia Mossad hata wewe watakutoa kizazi siku ukikanyaga Israeli, kama wanavyowafanyia watu weusi wote wenye asili ya Afrika waishio Israeli, na Waisraeli wanatuchukia sisi watu weusi zaidi kuliko binadamu yoyote yule, hivyo usijidaganye ukiona wanapigana na Waarabu ukafikiri wewe wanakupenda, ukiwauliza Waisraeli wachague kati ya Msyria na Muafrika kama mimi na wewe watachagua Msyria, na ndiyo maana hakuna Mwarabu aliyetolewa kizazi Israeli lkn Waafrika wote wamedungwa sindano na Mosad!

Kwahiyo tukusaidie nini?
 
Daaaah,
sitalala nikaa macho hadi hapo ..... itakapomalizika.
 
Mleta mada ukirudi unitagi. Hafu naona ungekuwa una I type ikikamilika ndo ui paste JF hapo ndo ingenoga kuliko nusu nusu inakata stimu kwa kiasi flani
 
Wanatumia jina Israel lakini wale ni wahuni toka Germany Russia France na Eastern Europe.Was Ethiopia wanadai wao wanaundugu nao lakini wanabaguliwa.Hawa jamaa ni waporaji kama Morocco kwa Saharawi
 
Duh wenzetu wako serious na Kazi zao,, sisi hapa MOSAD yetu kwa kweli Siielewi John kapotea hivi hivi kaacha watoto na Wajane tele kule Ngorongoro.

Hadi Pm aliposhtuka ndo Jana pembe za John zinapelekwa,,

Mosad yetu ingekuwa makini John hadi sasa angekuwa hai.
 
Daaaah hiyo OPERATION ORCHARD nmecheki YOU TUBE now, aseee hawa mossad wanatisha mnoo, yaani hatari tupu
 
Mleta mada ukirudi unitagi. Hafu naona ungekuwa una I type ikikamilika ndo ui paste JF hapo ndo ingenoga kuliko nusu nusu inakata stimu kwa kiasi flani
Huwa nasikia raha sana nikiona mwanamke active kama wewe ambaye unapenda kuulisha ubongo wako vitu vigumu.

Hakika wanawake wote mngekuwa hivi maisha yangekuwa rahisi sana, maana tatizo la wanawake wenye hard disc ambayo imekuwa formatted na Shigongo understanding ni zero kabisa kwao.
 
Back
Top Bottom