Mossad: Nguzo imara nyuma ya ustawi wa taifa la ISRAEL dhidi ya hila za SYRIA.

Wanatumia jina Israel lakini wale ni wahuni toka Germany Russia France na Eastern Europe.Was Ethiopia wanadai wao wanaundugu nao lakini wanabaguliwa.Hawa jamaa ni waporaji kama Morocco kwa Saharawi
Wa Ethiopia wenye asili ya ujudaism wanabaguliwa hatari huko Israel kuanzia mashuleni, pia huko Israel wanabaguana wenyewe kwa wenyewe hata wayahudi wa nje wakienda Israel full ubaguzi.
 
Matola Mimi napenda kujifunza kila siku na kujisomea mambo mbali mbali tofauti, hali hii imenifanya nielewe mambo mengi muhimu.
Wanawake wengi huwa hawapendi kujishughulisha naona wameridhika na mambo simple sana hata wakikaa na wenzi wao huwa hawana wazo jipya LA ku contribute kwenye daily life. To me life is a learning process and I started when I was in primary na hicho ki tabia nimekiendeleza mno.
 
Wa Ethiopia wenye asili ya ujudaism wanabaguliwa hatari huko Israel kuanzia mashuleni, pia huko Israel wanabaguana wenyewe kwa wenyewe hata wayahudi wa nje wakienda Israel full ubaguzi.
Hiyo yako ni Topic mpya hapa Complex alikuwa anajaribu kuonyesha UMAHILI wa Mossad ktk Kazi zao,,
Wew unaleta Udini wako kwenye huu UZI mtam .

Hatuongelei Ubaguzi hapa tunadadavua Umahili wa hawa watu Taifa la Mungu YEHOVA katka Kazi za mikono yao.
 
Udini uko wapi? Au wewe ndio wale vipofu wanaodhani Israeli dini ya kikristo ina waumini wengi?

Kwa taarifa yako Population ya Waisrael waislamu ni wengi kuliko wakristo.

Usivamie vitu usivyo na ufahamu navyo
 


Kwani kuna si hata mimi nimeelezea pia wanachokifanya Mosad Dunia hii kwenye ujasi wao, kwamba wanawadunga sindano ya kuondoa kizazi Watu weusi kutoka wenye asili ya Ethiopia, hawataki kizazi cheusi kimee Israeli!
 
Ukiwa muongo usiwe msaahaulifu mara kiwanda kipo korea kaskazini mara kipo syria!
Unadhani level ya uelewa ingekuwa sawa shuleni wengine mngepata zero?

Sasa hapo ameandika kwa kiswahili hujaelewa kwamba Wasyria walifia North Korea kwenye mlipuko na ikatumwa ndege ya Syria kuirudisha miili nyumbani, nini hakieleweki hapo?
 
Keep on, akupataye wewe kwa hakika atakuwa amepata mke mwema kabisa, hata muda ukiamuwa kupitia udaku wa Shigongo unakuwa na upeo wa kufilter mambo na kudigest.

This is it.
 
Unadhani level ya uelewa ingekuwa sawa shuleni wengine mngepata zero?

Sasa hapo ameandika kwa kiswahili hujaelewa kwamba Wasyria walifia North Korea kwenye mlipuko na ikatumwa ndege ya Syria kuirudisha miili nyumbani, nini hakieleweki hapo?

Kaka afadhali umueleweshe wewe, maana nimetumia muda mwingi sana kuiandika katika kiswahili kinachoeleweka kwa urahisi, lakini kumbe kuna ambao bado hawajaeelewa kiswahili kilichoandikwa.
 

Mtu mweusi hana heshima sehemu yoyote ile duniani.
Iwe Ulaya, Amerika au Asia na kibaya zaidi haheshimki hata nyumbani kwake Afrika.
Hao wachina ndiyo hawatupendi kabisa sema tu hawana jinsi.
 
Bado?
 
Mtu mweusi hana heshima sehemu yoyote ile duniani.
Iwe Ulaya, Amerika au Asia na kibaya zaidi haheshimki hata nyumbani kwake Afrika.
Hao wachina ndiyo hawatupendi kabisa sema tu hawana jinsi.


Tutaheshika vp kama sisi wenyewe hatujiheshimu wala kujithamini? Angalia uongozi mzima wa chadema wako kwa Mzungu Ulaya kushitaki tena wanakwenda kaanchi kadogo kama Denmark hivyo kwa akili yao wanategemea Mzungu ndiyo aje kutatua matatizo yao, sasa tutaheshika vp?
 
Anzisha thread yako itakuwa vizuri sio kuchafua hali a
Kwani kuna si hata mimi nimeelezea pia wanachokifanya Mosad Dunia hii kwenye ujasi wao, kwamba wanawadunga sindano ya kuondoa kizazi Watu weusi kutoka wenye asili ya Ethiopia, hawataki kizazi cheusi kimee Israeli!
Kwani kuna si hata mimi nimeelezea pia wanachokifanya Mosad Dunia hii kwenye ujasi wao, kwamba wanawadunga sindano ya kuondoa kizazi Watu weusi kutoka wenye asili ya Ethiopia, hawataki kizazi cheusi kimee Israeli!
Anzisha thread yako itakuwa vizuri
 
Anzisha thread yako itakuwa vizuri sio kuchafua hali a
Anzisha thread yako itakuwa vizuri


Hali ya hewa gani niliyochafua? Mada inahusu ujasusi wa Mosad na mimi nimeongezea kwenye huo Ujasusi, kwamba wanawahasi watu weusi huko Israeli, sasa kwa nini unataka nianzishe nyingine wakati hii ipo?
 
Endeleza mkuu....hadi nimesahau kula msosi umekuwa wa bard kama vile uliwekwa kwenye fridge
 
Hali ya hewa gani niliyochafua? Mada inahusu ujasusi wa Mosad na mimi nimeongezea kwenye huo Ujasusi, kwamba wanawahasi watu weusi huko Israeli, sasa kwa nini unataka nianzishe nyingine wakati hii ipo?
Anzisha yako yenye uchambuzi yakinifu kaka
 
Uwe unafatilia vizuri comments ndugu Mimi nilimu quote kuna MTU mwingine, kwanini cha ajabu ni nini? Kwanza hata sijaelezea udini hayo ni yako mkuu. Mbona unaumia kuliko mleta mada you need to relax stop complicating some issues. Life is easy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…