No. Ila kwa sababu ungekuwa unafuatilia hizi operation walizifanya wao na mataifa mengine hawakujua. Kuna post hapo juu nimeweka kama ungeisoma ungejua hata CIA walipoidaka moja kati ya target alikuwa Agent wao wakamsaidia kupona ingawa baadae Mossad walimpata.kwa kuwa cjakuunga mkono kwenye kuwasifia mossad sio..haya
hzo post zako hazijaonesha uchunguz walifanyaje had wakapata hyo list,umeonesha tu walipata list,wakaplan execution,wakalipa kisasi,wameua hadi mtu asiehusika,huoni kama wako reckles,hzo intel hununuliwa,na kwa ukibaraka wa israel kwa marekani itakua walipewa,miaka 8 bdae..means marekani hawakuwa na haja naeNo. Ila kwa sababu ungekuwa unafuatilia hizi operation walizifanya wao na mataifa mengine hawakujua. Kuna post hapo juu nimeweka kama ungeisoma ungejua hata CIA walipoidaka moja kati ya target alikuwa Agent wao wakamsaidia kupona ingawa baadae Mossad walimpata.
Sasa statement yako inaonesha aidha ni mweupe ktk eneo husika au la basi una lako jambo dhidi ya Mossad/Israel.
Kama unadhani assesment yangu haiko sawa, basi counter na ushahidi.
usi hangaike kupoteza mb zako kwa kubishana nae uyo hakuna analofahamu katika ulimwengu wa kijasusi akae na ujinga wake ivo ivoNo. Ila kwa sababu ungekuwa unafuatilia hizi operation walizifanya wao na mataifa mengine hawakujua. Kuna post hapo juu nimeweka kama ungeisoma ungejua hata CIA walipoidaka moja kati ya target alikuwa Agent wao wakamsaidia kupona ingawa baadae Mossad walimpata.
Sasa statement yako inaonesha aidha ni mweupe ktk eneo husika au la basi una lako jambo dhidi ya Mossad/Israel.
Kama unadhani assesment yangu haiko sawa, basi counter na ushahidi.
Hahahaaa. Nadhani huyu member hapa chini yuko sahihi. Intelligence forum with Perhaps, May be, I think so.hzo post zako hazijaonesha uchunguz walifanyaje had wakapata hyo list,umeonesha tu walipata list,wakaplan execution,wakalipa kisasi,wameua hadi mtu asiehusika,huoni kama wako reckles,hzo intel hununuliwa,na kwa ukibaraka wa israel kwa marekani itakua walipewa,miaka 8 bdae..means marekani hawakuwa na haja nae
Kwa kweli!usi hangaike kupoteza mb zako kwa kubishana nae uyo hakuna analofahamu katika ulimwengu wa kijasusi akae na ujinga wake ivo ivo
kuna mbuzi gani anajua ujajusi humu!Hahahaaa. Nadhani huyu member hapa chini yuko sahihi. Intelligence forum with Perhaps, May be, I think so.
🙁🙁🙁
Kwa kweli!
Asante mkuu , masahihisho yamenijaza nyamaSidhai kama kuna ukweli ktk post yako hii. kwanza risasi Mia nne ni nyingi sana. Na Mossad walikuwa wanatumia bastola maalum ambazo hazibebi risasi zote hizo. kwa hiyo walihitaji mzigo wa kubeba risasi ambazo ki operesheni si sawa. Katika operesheni kama hizi unataka uwe na almost nothing visible ili kuondoa suspicion.
Kuongezea katika operation impossibility ni kuwa huyo Jamaa alifia Baghdad na alikuwa sio Member wa BS.
"Abu Nidal, leader of a renegade Palestinian terrorist group responsible for a string of atrocities in the 1980s and 1990s, has died from gunshot wounds in mysterious circumstances in a flat in Baghdad, according to Palestinian and other sources. He was 65
A senior Palestinian official in Ramallah, on the West Bank, described the circumstances as "mysterious". The official said he had been told he had committed suicide but was unable to explain how this was consistent with a report that he had suffered three gunshot wounds."
Source: Mystery death of Abu Nidal, once the world's most wanted terrorist
Nadhani umechanganya mambo hapa. Abu Iyadi (Salah Khalaf alikuwa moja ya viongozi waandamizi wa Black September. Huyu ndiye aliyeuawa mjini Tunis. Hakuuawa na Israel bali na kundi la Abu Nidal.
"TUNIS, Tunisia — A turncoat bodyguard assassinated PLO leader Yasser Arafat's two senior deputies and a security officer Monday night at a house outside Tunis, Palestinian officials said. The killer held two relatives of one of the victims hostage for six hours before his arrest, they said.
A senior Palestinian commander in Tunis said the killer is a former member of Abu Nidal's terrorist PLO faction, sworn enemies of Arafat. But "we still don't know who he's working for," the commander said. "He may also be working for the Israelis."
The assassin, armed with an AK-47 assault rifle, took the hostages after killing Salah Khalaf, the Palestine Liberation Organization's second in command and its counterintelligence chief, who is better known by his nom de guerre , Abu Iyad; Hael Abdel Hamid, the PLO's security chief, known as Abu Loul; and Abu Mohammed Omari, Abu Iyad's aide, sources in Tunis said.
Six hours later, PLO guerrillas and Tunisian police stormed Abu Loul's house, where the shootings occurred, arrested the assailant and freed the two hostages--Abu Loul's wife and daughter--unharmed, the commander said"
Source: Gunman Kills 2 Top Arafat Aides in Tunis, PLO Says : Terrorism: The slayer is described as a turncoat bodyguard. A security officer also is a victim.
Check vyema vyanzo vyako!
Utakuwa mweupe eneo hili boss. Au hata haujasoma post tangulizi?
Mkuu uliloongeani sawa kabisa kuna mijitu inabisha tu mradi ibishe,hii 6 days war kama unaijua ukaishusha kama alivyoshusha mshikaji Comlex itakuwa poa sana.usihangaike na watu wa aina hii . ni wale wenye allergy na Israel. Yaani hata wakiona waisrael wanatembea juu ya maji atasema wanawatimulia mavumbi. au watasema ni kwa sababu waisrael ni wepesi sana hawana uzito.
yu just let her/him be. tuendelee sisi tunaofaham mambo haya ya intelejensia. anayepinga weledi wa israel katika ujasusi ni mwenye mtindio wa ubongo. lile TAIFA TU KUWEPO PALE LILIPO LIKIWA LIMEZUNGUKWA NA MAADUNI INATOSHA KUONA KUWA SI TAIFA DOGO. INTELEJENSIA YAKE WAULIZE WAMISRI WATAKWAMBIA hasa katika six 6 war
Mkuu uliloongeani sawa kabisa kuna mijitu inabisha tu mradi ibishe,hii 6 days war kama unaijua ukaishusha kama alivyoshusha mshikaji Comlex itakuwa poa sana.
Haikuwa black semptember huyo ni mtaalam wa nyuklia wa SyriaKuna mmoja ninemsahau jina sikumbuki kama na yy ilikua ni black september ama la.
aliuliwa na sniper wa mossad aliyeubukia kutoka kwenye maji (baharini)maana nyumba yake ilikua iko pembezoni mwa bahari..
alikua na wenzake wanakula dinner nyumbani kwake, sniper akaibuka kutoka kwenye maji akampa za uso (risasi zilipitia dirishani) akazama akatoweka zake.
unakumbuka hili tukio??
Ajali kazinihzo post zako hazijaonesha uchunguz walifanyaje had wakapata hyo list,umeonesha tu walipata list,wakaplan execution,wakalipa kisasi,wameua hadi mtu asiehusika,huoni kama wako reckles,hzo intel hununuliwa,na kwa ukibaraka wa israel kwa marekani itakua walipewa,miaka 8 bdae..means marekani hawakuwa na haja nae
usihangaike na watu wa aina hii . ni wale wenye allergy na Israel. Yaani hata wakiona waisrael wanatembea juu ya maji atasema wanawatimulia mavumbi. au watasema ni kwa sababu waisrael ni wepesi sana hawana uzito.
yu just let her/him be. tuendelee sisi tunaofaham mambo haya ya intelejensia. anayepinga weledi wa israel katika ujasusi ni mwenye mtindio wa ubongo. lile TAIFA TU KUWEPO PALE LILIPO LIKIWA LIMEZUNGUKWA NA MAADUNI INATOSHA KUONA KUWA SI TAIFA DOGO. INTELEJENSIA YAKE WAULIZE WAMISRI WATAKWAMBIA hasa katika six day war
Mbona tuko hivi kwani mnalipa?Uwe unamalizia kabisa hizi sio hadithi za shigongo Ndio maana the bold anamaliza kabisa mnaishana