Huyo balozi ni Fatah. Yupo chama moja na Mohmud Abasi. Wao pia kiaina wana bifu na Hamas walitimuliwa huko Gaza. Hizi kelele wanazopiga dhidi ya Israel ni geresha tu. Israel ina mpango wa kuwaachia Gaza baada ya Hamas Kumalizwa huko!Na huyu balozi wa Palestina tz naye awe makini asijiachie tu kina Ponda wanaweza kuwa Mossad.
Asante kwa information. Nilidhani vingineHuyo balozi ni Fatah. Yupo chama moja na Mohmud Abasi. Wao pia kiaina wana bifu na Hamas walitimuliwa huko Gaza. Hizi kelele wanazopiga dhidi ya Israel ni geresha tu. Israel ina mpango wa kuwaachia Gaza baada ya Hamas Kumalizwa huko!
Mteule ana focus kotekoteToka 1987 Israel imeua viongozi wengi wa Hamas, ndio maana tunasema hii sio solution, covert opertaion sio wakati wake huu a focus na vita Gaza.
unaandika kama unaijua kazi ya ujasusi , kwamba jasusi anafanya kaz kwenye uwanja wa vita ? jasusi anafanya kaz nyuma ya pazia kwenye eneo tulivu kabisa sio kweny uwanja wa vitaSaleh al-Arouri moja ya waanzilishi na kiongozi wa juu kabisa wa Hamas amelambwa kichwa Lebanon.
Israel covert operations hazitowasaidia muda huu, wakubali wameshindwa basi yaishe, wameshindwa kutumia ujasusi wao kuokoa mateka pale Gaza wanakwenda Lebanon kuua watu.
kwan azimio la mwaka 1948 lilikuwa lipi na nan alilivunja ? hv mnajuwa mnachoshabikia kwanza ? mnaowashabikia hawatak two state solution ww ndo unajikuta una dunia yako yenyr uhalisia tofautGaza imewanyoosha ombeni amani na mazungumzo ya two state solution mngangania vita haya sasa aibu hiyo kubalini tu .
azimio la mwaka 1948 lilikuwa lipi ? nan alilivunja ?Hamas mwasisi Ahmad Yasini , akina Al rantisi walikuwa assasinated ila leo hii wamepata viongozi wengine wakali zaidi hata hao watapigwa wataibuka wengine wenye misimamo mikali suluhu ni dialogue na two state solution basi ili kuwe na amani ila kuua viongozi wa watu millioni 2 ni rahisi kupata mwingine historia imeonyesha hivyo.
Huyu Jamaa, Saleh Al Arouri ndiyo walitumia Waislam wenzao wa Qhamas tarehe 7 October wakafanye mauaji na raping Israel huku walijirekodi ili waje waangalie hizo videoMuda si mrefu, majasusi, wa, MOSSAD, wamefanya assassination kwenye viunga vya Lebanon, maeneo ya Hezbollah, wamemuua kiongozi, mkubwa wa, Hamas, sasa, ni Vita kila eneo, militarily, na covert operations, ubaya, wake, Hamas, na, wanaomuunga mkono, watalipa kisasi popote yalipo maslahi, ya Israel duniani.
Kazi, ya, intelijensia ndio hiyo, unakuwa, na, mkono mrefu, wakati army wanapigana kwa bunduki kwa kuona na, wewe unakwenda, "behind enemy lines"
Vita ndio kwanza imeanza.
Sio TISS wetu,tunaonyanganya mademu baa, kila siku, wanagombana na daladala, na mbwembwe za kuwasha vingora.
sheikh Ponda sio ? hahahaahaaaIla kuuawawa kwa huyu jamaa kumewashtua sana hadi kina Ayatollah hawatoki nje. Tena huyu jamaa alikuwa na appointment na Nasrallah bosi wa kundi la kigaidi la Hezbollah kesho jumatano.
Na huyu balozi wa Palestina tz naye awe makini asijiachie tu kina Ponda wanaweza kuwa Mossad.
God bless and protect Israel
ISRAEL FOREVER
hata USSR ilikwepo tangu mwaka 1921 ili ilikuja kufanyaj mwaka 1997?Hamas ipo tangu 1987, miaka yote hio waje waifute leo, hizo tunaita ni kauli za kuwatia moyo wananchi na kutaka sifa, lakini hawana huwezo kuifuta Hamas.
huez muacha krb mtu ambae dini yake inasema myaudi hapasw kuish dunianToka 1987 Israel imeua viongozi wengi wa Hamas, ndio maana tunasema hii sio solution, covert opertaion sio wakati wake huu a focus na vita Gaza.
Hakuna wakati wowote ilishapigwa mabomu kama wakati huu. Ni hasara kubwa sana imetokea huko Gaza ya watu na miundombinu. Hii Itawapa wakati mgumu hata wafadhali wa hao Hamas. Hao pia ni walengwa kwenye hii vita dhidi ya taifa hili la kizayuni!Hamas mwasisi Ahmad Yasini , akina Al rantisi walikuwa assasinated ila leo hii wamepata viongozi wengine wakali zaidi hata hao watapigwa wataibuka wengine wenye misimamo mikali suluhu ni dialogue na two state solution basi ili kuwe na amani ila kuua viongozi wa watu millioni 2 ni rahisi kupata mwingine historia imeonyesha hivyo.
Ni kweli hii haina faida yeyote kwenye uwanja wa mapigano.
Lengo la vita destroy hamas and pia kukomboa mateka none has been achieved . ila bado vita sio suluhu dialogue ndio msingi wa amani na ndicho walipaswa kufanya tokea mwanzo ili kuokoa na aibu ya kushindwa.Naona kama unawaza kinyume. Sasa hapo Gaza ambapo watu zaidi ya million 2 wapo displaced na hawana chakula mpaka jumuiya za kimataifa zinapiga kelele. Nani kanyooshwa hapo?
Hawajawaza kitu mkuu. Wapo vitani. Au hukumsikia Netanyahu wakati anatangaza vita na Hamas. Hiyo ndiyo maana ya vita.Sijui wamewaza nini lakini lazima Hamas na Hezbollah wajibu.
Kwa sasa wanakaa kwa mashaka mnoHamas Kuja kushtuka watakuta viongozi wote hawapo na Gaza Imeteketea[emoji848]
Ponda anaweza kuwa mossad. ha ha haIla kuuawawa kwa huyu jamaa kumewashtua sana hadi kina Ayatollah hawatoki nje. Tena huyu jamaa alikuwa na appointment na Nasrallah bosi wa kundi la kigaidi la Hezbollah kesho jumatano.
Na huyu balozi wa Palestina tz naye awe makini asijiachie tu kina Ponda wanaweza kuwa Mossad.
God bless and protect Israel
ISRAEL FOREVER