Mossad walikuwa wapi nchi inashambuliwa kwa style ile ile kwa mara ya pili? Unguli wao ni propaganda tu?

Nilichosikia mimi kwa safari hii kilichowaponza Israel ni matumkzi yao ya Digital Technology, kwamba kwa sasa wanayo mitambo inayoona kila kitu kinachoendelea kwenye uande wa mahasimu wao
Kumbe maadui hawa walikuwa wameshawagundua Israel kwamba wanatumia teknoloji, halafu wao wakaamua kutumia FOOT AND MOUTH" classical teknoloji. Nasikia dakika za mwisho kuna mtu aliwa-alert Israel kuwa HAMAS walikuwa wanapanga sahmbulio, lakini Israel wali-ignore baada ya mitambo yao kuwaonyesha taarifa tofauti.
 
Acha uongo. Mitambo gani hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…