Brother pentagon hupo department ipi kati ya hiziShule yangu IST baada ya hapo nikaunga Harvard nikagonga Electrical engineering... Nipo zangu pentagon saivi napiga kazi
Umeongea jambo sahihi sana mkuu. Na ulipoigusia VETA ndiyo umemaliza kabusa lakini sidhani kama watu watakuelewa humu. Truly to say, VETA is far better kuliko hivi vyuo vikuu.Maana nzima ya elimu ni kumpatia maarifa tarajiwa aliyepitia elimu hiyo........
Yaani kwa lugha nyepesi mwanafunzi aliyepata mafunzo fulani aonekane kwenye uhalisia kuwa kweli kapata mafunzo hayo kwa vitendo na muonekano wa maisha yake.....
Na elimu kwa maana ya ugawaji maarifa unaendana na kulingana na mahitaji ya nyakati husika kwa wahusika mfano huwezi kutumia mfumo wa elimu wa miaka ya 80 kwenye nyakati hizi za biashara na sayansi na teknolojia..........
Mifumo yetu ya elimu tuliyoachiwa na mkoloni ambayo bado tunaitumia mpaka leo dhumuni lake ni kumuandaa msomi wetu kuwa msaidizi wa watalaamu wa kigeni na ndio ilivyo mpaka leo hii......
Ili umpatie mwanafunzi maarifa sahihi yatakayo mwezesha yeye kukabiliana na mazingira yake na kuyamudu maisha yake lazima gharama itumike
Mifumo yetu ya elimu inamuandaa mtoto kufaulu mitihani na kusonga mbele na sio kupata maarifa
Na ndio maana watoto wetu muda mwingi sana wanahangaika na past paper ili kuyawinda na kuyakariri maswali yatakayo jirudia.........lengo ni kufaulu tu mtihani
Hata viongozi wetu wanajisifia kwa hilo kila mwaka na ufaulu ukiongezeka wanatangaza kwa mbwe mbwe
Mzazi anayejua maana ya elimu na mwenye uwezo kifedha hawezi kumpeleka mwanaye kwenye hizo shule za ajabu ajabu.......
Kwa hapa Tanzania VETA pekee ndio wanaotoa elimu stahiki yenye kumpa maarifa mwanafunzi stahiki ingawa watu wanaidharau........lakini mimi ni heri mwanangu asome VETA kuliko kumaliza muda wake huko UDSM.....
Tunaona hata jinsi Wachina wenye kielimu kidogo kalikojaa maarifa wanavyopiga hatua kwa kutumia rasilimali zetu hizi hizi......ambazo sisi hatuzioni......
WE HAVE A LONG WAY TO GO
Watawala ndio wanafurahia hivi kuzidi kuwa na watawala na watawaliwa.......
Arusha ni Jiji la wamachinga, sidhani kama nchi hii kuna mkoa unaongoza kwa kutandaza vitu barabarani kama Arusha, kile pembezini mwa barabara unapopita wametapakaa wayza nguo wakiwa wamezutandika chini, wayza mahundi, wauza pipi n.kShule za level gani... Ebu zitaje... Umataifa wa Arusha ni upi? ni shule? Idadi ya Wageni au kitu gani? au International Airport au Hifadhi? sema vizuri mkuu...
Naona unajaribu kutufunga kwa kamba kavu za migomba au unadhani sisi ni mizigo ya kuni?Mimi ni miongoni mwa wanafunzi waliosoma ST,CONSTANTINE (Arusha)
Wakti huo ilikua haijajengwa secondry school
Nilimaliza la 7 nikaendelea ISM international school moshi
Hadi form3 wakani promot GRENJ SECONDRY SHOOL jijini Nairobi
Kwa mwenye swali kuhusiana na shule hizi aniulize nitamjibu tu
Naona unajaribu kutufunga kwa kamba kavu za migomba au unadhani sisi ni mizigo ya kuni?
Usome hiyo shule halafu hata kuandika usijue?
Hakuna koma, hakuna nukta, uppee na lower cases zinaweka popote pale.
Hebu acha uongo wewe
wengi wa waliopitia hizo shule wakimaliza vyuo vikuu huwa wanarudi kusimamia miradi ya kibiashara ya familia zao na baadaye huanzisha miradi yao binafsi.Afuu akitoka hapo analipwa mshahara laki 4 kwa mwezii... haa ha ha..!!
Ha ha haaaNlijua utanihoji maswali juu ya SCS [emoji3]kumbe unaongelea nukta na koma
Miaka hio mi nasoma hapo wrwe ulikua bado dogo saana upo kijijini kwenu na kaptula ya kaki unauza miwa[emoji3]
Hawafanyi mitihani ya necta hao mkuumbona huwa haziingii top ten ya NECTA??
nchi za kiafrika tunashida sana yani tunatawaliwa kila eneo,hivi unaanzaje kuruhusu shule ambazo zipo nchini mwako kutumia mitaala ya nchi zingine.
VETA ina nafasi yake katika value chain lakini si mbadala wa ngazi zingine. Hakuna atakayekupa u-project engineer au department head engineer na ganda lako la Veta. Wewe saizi yako itakuwa kukaza nati, kufuata maigizo,n.k. Siyo kufanya maamuzi.Umeongea jambo sahihi sana mkuu. Na ulipoigusia VETA ndiyo umemaliza kabusa lakini sidhani kama watu watakuelewa humu. Truly to say, VETA is far better kuliko hivi vyuo vikuu.
Hesabu ndiyo shida? USD 12,000 ni kama ni kama Sh. 28 million. Linganisha ndiyo utajua kama inastahili au la.Nashangaa, wakati Feza International primary ni usd 660 na sec ni usd 12,000 inakuwaje haimo
Mkuu si wameweka mitaala wanayotumia hapo au hujaona?Vipi hizo shule huwa hazifanyi necta? Mbona huwa sizioni?
Engineering hai apply kila mahala, kingune ukumbule VETA siyo kujaza nati tu. VETA wanafanya innovations nyingi sana kuliko hao Engineers wako. Engineers wana nafasi yao kubwa tu lakini si kwa wingi uliopo hivi sasa unaopelekea hao engineers waishie kufanya kazi za watu wa VETAVETA ina nafasi yake katika value chain lakini si mbadala wa ngazi zingine. Hakuna atakayekupa u-project engineer au department head engineer na ganda lako la Veta. Wewe saizi yako itakuwa kukaza nati, kufuata maigizo,n.k. Siyo kufanya maamuzi.
Hahahaha Hah!Mbona siyaamini hayo maandishi au sijielewi ?ml 65 pesa unalipia ada ahaaaa sio kweli jamani hamna MTU anaweza kulipa hivyo nakataaaaa
Fake it until you make it- Billionaire Boys ClubShule yangu IST baada ya hapo nikaunga Harvard nikagonga Electrical engineering... Nipo zangu pentagon saivi napiga kazi
Zama hizi kama ni mtu unafikiria mbali huwezi ukaacha kumsomesha Mtoto Shule ya maana kwa kufikiri badae atashindwa kupika na kufua, hili ni wazo mgando sana jamaa yangu badilika labda kama kauwezo kanabana ila usijidanganye.hiyo fees ni gharama ya spaghetti, swimming pool,sausage na wengi wanajifunzia kulamba unga huko,Anamaliza shule hata kufua nguo hajui na ukipata bahati mbaya ukao aliyepitia huko watoto watakuwa wanakula chips kila siku tena za kununua magengeni.kupika na kufua sifuri ila English poa