Most expensive schools in Tanzania

wengi wa waliopitia hizo shule wakimaliza vyuo vikuu huwa wanarudi kusimamia miradi ya kibiashara ya familia zao na baadaye huanzisha miradi yao binafsi.

rejea historia ya mohamed dewji au yusufu bakhresa (wote hao walisoma IST).
Kuna mtu aliniambia kuwa kati ya Jamali au Omari Bakheresa alikataa kabisaa kusoma ili aingie ktk biashara ya babake moja kwa moja
 
Hiyo ipo strategically mkuu,serikali inataka kuifanya miji yote iliyo chini ya upinzani kuwa dampo ili kuwakomoa!! Ndiyo maana ilizuia hata mapato ya halmashauri hizo yasitumike kuendelea maeneo hayo na badala yake yakahamishiwa serikali kuu! Nchi ya visasi hii mkuu!
 
Zama hizi kama ni mtu unafikiria mbali huwezi ukaacha kumsomesha Mtoto Shule ya maana kwa kufikiri badae atashindwa kupika na kufua, hili ni wazo mgando sana jamaa yangu badilika labda kama kauwezo kanabana ila usijidanganye.
Hao wanatoka st kayumba si watawapikia na kuwafulia? Usomee kupika na kufua kwani wewe ni mtoto wa kada?
 
Ila Arusha wameichakaza vibaya aisee, siyo Arusha ile . Manzese is far better kuliko Arusha. Mji mzima umegeuka kuwa soko. Arusha ya sasa kila siku utadhani ni siku ya mnada/gulio.
 
Kwani ukijua kufua nguo na kupika ndio inakuwaje!??


Mkuu acha tupambane na maisha yetu huku mtaani...kuna watu hawajawahi kupanda hata daladala...hawajui bei ya sukari na chumvi pale kwa mangi...na wanaishi hivyo hadi kufa kwao..!! Tusiwalaumu
 
Naona unajaribu kutufunga kwa kamba kavu za migomba au unadhani sisi ni mizigo ya kuni?
Usome hiyo shule halafu hata kuandika usijue?
Hakuna koma, hakuna nukta, uppee na lower cases zinaweka popote pale.
Hebu acha uongo wewe
Ulisoma st Constantine mwaka gani?!!..Ulianza age gani?
 
wanakula chips kila siku tena za kununua magengeni.kupika na kufua sifuri ila English poa

halafu wakakitumie wapi hicho Kiingereza, Kariakoo ?

Ni duka gani, ofisi ya umma gani, benki, hospitali au hoteli gani umewahi kukosa huduma au kupata kazi kwa sababu wanaongea Kiingereza kitupu ???
 
Hao watoto wanaosoma hizo shule ni wanakulia na kufia kwenye matawi ya juu
Hutakutanae kijiweni sio kibaruani na wala kwenye foleni ya benki ..wako another level, yaani ni maisha ya ndotoni kwetu...
 
Implication ya hiyo kitu ni kuwa hata walioendelea wanajua kuwa hizo regions ndo zenye watu wenye dough na sana sana Arusha.. Dough ipo kwa wengi japo life iko juu na ni tourist regions kuna attractions kibao na weather pia ni nzuri
Kwamba Arusha kuna dough kuliko Dar?

Arusha nzima tunailinganisha na goba tu.
 
Duu hao wa tanganyika school nadhan hawaajiriwi bongo
 
Mkuu acha masihara nimewahi kufika hiyo IST wengi ni wahindi,wazungu na waarabu sidhani kama kazi wanafanya bongo ukizingatia mitaala yao ni ya uingereza
Samahani naomba tuongelee mtaala ,Ni kuwa mfano mtaala huu aliyesoma baadaye akaja akasomea udaktari ama let say maths professor,Ina Mana contentwise kuwa watakuwa wanatofauatiana.
Nahitaji kuelimishwa hapa kuwa daktari wa China,India,Tanzania,Brazil,misri, Iran and Bangladesh kuwa hawatakuwa na uwezo mmoja wa kutibu ama kufanya upasuaji let say wamesomea specialization moja.
Yaani nauliza Engineer wa China ama wa Tanzania kuwa hawezi Jenga road huko USA.
 
Ndio maana wakipewa nafasi serekalini huwa wizi wa kutisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…