Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,699
Kwa mujibu wa mtandao wa Africa Youth Awards, hii ndiyo listi ya vijana wa Kiafrika wenye ushawishi zaidi barani Afrika na duniani: Tanzania inawakilishwa vyema na vijana 7 (sijui kama kuna mwingine sijamuweka kwenye listi hii), kama ifuatavyo; Ali Kiba (6), Diamond Platnumz (28), Diana Elizabeth Michael (Lulu)?? katika namba 29, Flaviana Matata (39), Jokate Mwegelo ((55), Millard Ayo (68) na Nancy Sumari (74).
Hongera wote mliotajwa kwenye orodha hii...
Hongera wote mliotajwa kwenye orodha hii...