Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 4,967
- 11,056
Sasa kama hamjui chochote kuhusu sisi, kelele za nini? Mnapiga kelele kwa data zipi?!
Duh..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama hamjui chochote kuhusu sisi, kelele za nini? Mnapiga kelele kwa data zipi?!
Em jibu swali kwanzaKuzalisha mutation si hoja, hoja ni kuzalisha most mutated variant.
Unaelewa tofauti?
Usitake kulinganisha timu inayocheza mpira ligi ya mchangani na timu iliyoshinda World Cup.
Eti kwa sababu zote zinacheza mpira.
Utaonekana juha.
Kalale
Hata swali linahojiwa, unaelewa hilo?Em jibu swali kwanza
Ugonjwa wa moyo uliacha lini kuua?Kenge Mwendazake kalazwa na uviko19 ni data tosha kupiga kelele
Ooh, kumbe wamezalisha mutation? Very intresting, what makes you think hiyo mutation haitamutate tena, na tena, na tena, na tena, na tena, na eventually kuwa sawa na the so called ‘Most mutated’?, maana kama iliweza kumutate once under all the restrictions and lockdowns, it will most certainly do the same, given enough timeHata swali linahojiwa, unaelewa hilo?
Ukiuliza swali ambalo halina mantiki utaambiwa.
Wamezalisha mutation, lakini hawajazalisha the most mutated variant.
Unaelewa tofauti?
Wapi nimesema hiyo mutation haita mutate tena?Ooh, kumbe wamezalisha mutation? Very intresting, what makes you think hiyo mutation haitamutate tena, na tena, na tena, na tena, na tena, na eventually kuwa sawa na the so called ‘Most mutated’?, maana kama iliweza kumutate once under all the restrictions and lockdowns, it will most certainly do the same, given enough time
Ahahaha!!Uzuri ni kuwa, hiki kirusi kikikupata kama upo healthy kinakutingisha kidogo tu kama wiki mbili kisha unakaa sawa,
Kwa Tanzania corona ni old school song.
Nani kasema hawaattempt kucontrol? Ofcourse wana attempt kucontrol, but the results there after, are they any different from those who are not taking such precautions?Wapi nimesema hiyo mutation haita mutate tena?
Key point hapa ni hii.
Nchi zinazopima watu wake, zinazo isolate wenye virusi na zinazo chanja watu zina attempt ku control mutation.
Leo watu wa Pfizer wanasema kwamba vaccine yao iko effective against the UK variant and the South African variant.
Marekani wapo around 20% vaccinated kwenye adult population.
Maana yake, hawa 20%, kwa kuwa wamejikinga na UK/ South African variant, hawatapata hizo variants na mutations zozote zitakazotokana na hizo variants.Wamepunguza attack surface.
Huko Tanzania ambako hatupimi, hatu isolate, hatuchanji watu, tuna incubate variants zote tunapika mutations zote.
Utafananishaje mawili haya?
Vipi UK na US?Brazil wanakufa sana..kuna taarifa ya hali ya ronaldinho kuwa mbaya
Nani kasema hawa attempt ku control? Na hao ambao hawa attempt ku control ni nani?Nani kasema hawaattempt kucontrol? Ofcourse wana attempt kucontrol, but the results there after, are they any different from those who are not taking such precautions?
Wewe ndio umesema kwamba wanaattempt kucontrol, (UK ect.) as if kuna mtu kabisha; in anycase, thereafter, matokeo ya hao wanaoattempt kucontrol kwa hizo precautions, na sisi (Tz) mnaodai hatuchukui precautions, kuna utofauti wowote wa matokeo?Nani kasema hawa attempt ku control? Na hao ambao hawa attempt ku control ni nani?
Be specific please. Imprecision is the dwelling place of the lazy fool.
Kwani umesikia UK wametengeneza the most mutated variant?Wewe ndio umesema kwamba wanaattempt kucontrol, (UK ect.) as if kuna mtu kabisha; in anycase, thereafter, matokeo ya hao wanaoattempt kucontrol kwa hizo precautions, na sisi (Tz) mnaodai hatuchukui precautions, kuna utofauti wowote wa matokeo?
Kwani kinachojaribu kuepukwa ni mutation au ni vifo na kuugua? Therefore, kuna utofauti wa vifo na kuugua kati ya wanakochukua na wasikochukua?Kwani umesikia UK wametengeneza the most mutated variant?
Na unaelewa kwamba hiyo most mutated imeonekana kwa wasafiri walioenda nje? Unaelewa maana yake huko Tanzania kunawezekana kuwapo na nyingine mutated zaidi haijagunduliwa, kwa sababu watu hawapimwi?
Unataka kulinganisha watu wanaopima, wanao isolate na kuchanja na watu wasiopima, wasio isolate na wasiochanja?
What's next? Utasema wote sawa, kwa sababu wote tutakufa siku moja?
Unataka kuepuka vifo na kuugua bila kuepuka mutations usizozijua na usizo zi control?Kwani kinachojaribu kuepukwa ni mutation au ni vifo na kuugua? Therefore, kuna utofauti wa vifo na kuugua kati ya wanakochukua na wasikochukua?
As long as hakuna utofauti wa matokeo; haya nijibu sasa na mimi, kuna tofauti ya vifo na kuugua kati ya huko wanakochukua precautions (UK etc.) na sisi tusiochukua precautions? (Tz)Unataka kuepuka vifo na kuugua bila kuepuka mutations usizozijua na usizo zi control?
Dont misquote meaione kwenye faili kiranga na wanazi wenzake
Dah..kwa jinsi hali ilivyo...bado kidogo tu....hii kirus itaota mikono....itashika bunduki na kuanza kushuti waTZ [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]As long as hakuna utofauti wa matokeo; haya nijibu sasa na mimi, kuna tofauti ya vifo na kuugua kati ya huko wanakochukua precautions (UK etc.) na sisi tusiochukua precautions? (Tz)