#COVID19 Most Mutated COVID-19 Variant yet found in Tanzania travelers

Hii tafsiri inakanganya sana. Ulisema article ya kiingereza utacheka namna yalivyotafsiriwa kwa kiswahili hapa.
 
Mama samia akatae kata kata nchi kutumika kama sample ya huo upuuzi.
Mficha maradhi kifo humuumbua. Natabiri kuwa hata yeye atakufa kwa Corona kama ataendelea kuipuuzia Corona. Corona ina utaratibu wake wa ajabu sana, ina wivu na inapenda kutawala. Ukikataa kuidhibiti ni lazima ikutawale. It started in Burundi!
 
Kuna jamaa mmoja hapa JF nilimwambia Tanzania inaweza kutoa mutation mpya ya kirusi, akawa anabisha saaana kwa ubishi wa kibongo wa ilimradi kubisha tu

Natamani niuone ule uzi nimuoneshe hii habari.
Kabisa aisee
 
Uzuri ni kua, hiki kirusi kikikupata kama upo healthy kinakutingisha kidogo tu kama wiki mbili kisha unakaa sawa,

Kwa Tanzania corona ni old school song.
Una maana kuwa Nkapa na jiwe wanasema hivyo hivyo kama wewe?
 
Mficha maradhi kifo humuumbua.Natabiri kuwa hata yeye atakufa kwa Corona kama ataendelea kuipuuzia Corona.Corona ina utaratibu wake wa ajabu sana, ina wivu na inapenda kutawala. Ukikataa kuidhibiti ni lazima ikutawale.It started in Burundi!
Uache kufa wewe kwa korona afe yeye ambaye ni less exposed na corona.
 
Kuna jamaa mmoja hapa JF nilimwambia Tanzania inaweza kutoa mutation mpya ya kirusi, akawa anabisha saaana kwa ubishi wa kibongo wa ilimradi kubisha tu

Natamani niuone ule uzi nimuoneshe hii habari.
Pengine ipo lkn haituui eti hahah
 
Uzuri ni kua, hiki kirusi kikikupata kama upo healthy kinakutingisha kidogo tu kama wiki mbili kisha unakaa sawa,

Kwa Tanzania corona ni old school song.
Afu baadae tunakua na mutual relationship [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuna uwezekano mkubwa wakuwaua wazee wetu ambao immune system ipo chini kuliko sisi
 
Uzuri ni kua, hiki kirusi kikikupata kama upo healthy kinakutingisha kidogo tu kama wiki mbili kisha unakaa sawa,

Kwa Tanzania corona ni old school song.
Siyo kweli, jinsi kinavyofanya mutations ndivyo kinakuwa hatari zaidi!
 
Propaganda hizo achana nazo, mbona wao wapo lockdown na wanavaa barakoa tatu tatu, kila siku wanatupa taarifa mamilioni wanakufa nchi zao?

Ina maana ugonjwa duniani ni corona tu mengine yapo likizo,tatizo wana utangaza sana na kutoa takwimu za uongo kutisha watu kufanikisha ajenda zao
 
Kwa akili hizi ungeshauri vile vibanda viwanja vya Uhuru, Amaan, kirumba na kule Chatto ni vizuri vikabakia bila kuvunjwa.

Itaokoa sana gharama za bomoa janga.

Pia bendera shauri kupepea nusu milingoti kuwa ni suala la kudumu.
Hamna kitu kama hicho,achana na ugonjwa wa kupangwa 'planndemic 'watu wanaendelea na maisha kama kawaida.
 
Hamna kitu kama hicho,achana na ugonjwa wa kupangwa 'planndemic 'watu wanaendelea na maisha kama kawaida.

Unamaana hata nkapa, Kijazi, Maalim, jiwe, Dr. Mpango, listi bado ndefu, nao wanasema kama wewe?
 
Hawa wapumbuva washaanza kuleta ujinga wao
Hakuna lockdown hapa tz peleken ujinga wenu huko
Kama ni kufa acha tufe
Matapeli wamkubwa nyie waongo wazandiki
Tz hakuna korona kwanza

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

"Kama kufa acha tufe."

Unaongea kwa niaba ya nani jombi? Hayo mamlaka umeyapata wapi?

Au ndiyo ushapewa u VP?
 
Unamaana hata nkapa, Kijazi, Maalim, jiwe, Dr. Mpango, listi bado ndefu, nao wanasema kama wewe?
Ingekua ni hivo mlivokaririshwa kuwa korona inaua sana watu,hospitali za dar es salaam zingekua zimezidiwa maana kila siku maelfu wapo uwanja wa mkapa bila barakoa wanaangalia mpira.
Yanayoandikwa mitandaoni ukija mtaani hayapo kabisa
 

Uzi ungeishia pale ulipotoa comment hiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…