Most people are like Robots

Most people are like Robots

Mkuu watu wanaamka na kujitambua kwa kasi ya ajabu , hata huko tanzania watu wana amka vibaya mno , fuatilia tu utakutana na wimbi kubwa la watu wana fanya meditation na kuhoji mambo mengi kuhusu utata wa dini na dhana ya Mungu .
Kuamka kwa namna ya kuhoji ni kweli wengi wanafanya hivyo, ila bado maisha yao yapo kwenye repeat mode.

Ni sawa na kupinga matumizi ya umeme lakini ukirudi nyumbani unawasha taa.
 
Watu wenye ajira wengi wao huwa wanaishi paycheck to paycheck life -hawa huwa wapo financially broke with endless movement with zero progress

Ikiwa MTU anaishi paycheck to paycheck life ni ngumu kuwa na akiba ya kumfanya a stand out katika hiyo ajira na kuwa na empire yake.

Ukija katika hawa ambao hawapo em employed wao huwa wanaishi Hand to mouth life . sasa MTU wa hand to mouth hawezi kuwa huge saving ili aje aachane na hiz mambo.

Nchi yetu inasumbuliwa na mambo mengi ikiwemo mindset , financial management n.k

Hapa Tanzania ni ngumu kumjua Jobless na MTU mwenye kazi maana wote wanalia kuwa maisha magumu.
😝😝😝😝😝 umesema kweli kabisa
 
Hapa Tanzania ni ngumu kumjua Jobless na MTU mwenye kazi maana wote wanalia kuwa maisha magumu.
Kwakuwa hapa kwetu wenye ajira ni wachache, basi hao ndiyo waliokuwa traped na huu mfumo wa repeat mode.

Wengine nao bado asilimia kubwa ya muda wao wanatumia kwenda huku na kule kujitafutia kipato na hapo ndipo nao wanauza muda wao wote wa siku kwa kukimbiza shilingi.
 
Kuamka kwa namna ya kuhoji ni kweli wengi wanafanya hivyo, ila bado maisha yao yapo kwenye repeat mode.

Ni sawa na kupinga matumizi ya umeme lakini ukirudi nyumbani unawasha taa.
Mda ni jawabu la yote hiyo haijaja kwa bahati mbaya ipo kwenye Akash records ya universal form , katika mpngalio sahihi na kwa wakati husika.
 
It is a PRISON. This world is a PRISON.

It imprisons your mind, your body and your spirit without your conscious knowledge.

It is a prison without visible gates but yet very strong and powerful.

In order to survive in this prison you must be a slave in one way or the other. Even in subtle ways where you think you are in control and in charge when in real facts you are a pawn in the grand game.

Everyone is a slave. Even the MASTERS OF THIS PRISON are slaves themselves in a sort of way.

The GODS and the MASTERS and the POWERS THAT BE of this PRISON are slaves themselves in their own powers.

It is a system that ensnares everything and everyone and spares NONE.

Cc: NAMBA MOJA AJAYE NCHINI DR Mambo Jambo Rabbon Pascal Mayalla
 
Mda ni jawabu la yote hiyo haijaja kwa bahati mbaya ipo kwenye Akash records ya universal form , katika mpngalio sahihi na kwa wakati husika.
Nadhani hapa umeelezea vizuri Sana

Universe huwa haisahau chochote na watu wengi tupo supported na tupo rejected kupitia universe .

Ndo maana MTU akicheza na universe anafanikiwa hata Kama hajasoma.
 
Greetings siblings, Hope y'all doing fine. This is something very important you should think about.

Millions of people never analyze themselves, Mentally they are merchanical product of the factory of their environment.

Preioccupied with breakfast, lunch and dinner, working and sleeping, going here and there to be entertained.

They don't know what or why they are seeking, nor why they never realize complete satisfaction. Most they don't understand the true purpose of living.

Get up go to work go home sleep
Get up go to work go home sleep
Get up go to work go home sleep
(Repeat)
Conclusion ni nini, na unaweza toa mfano sahihi wa kuufata?
 
Mkuu nijuze kuhusu Akash records, ni kitu gani hicho
Unaweza ita makataba ya kiroho wa lugha nyepesi , haina uthibitisho wa kisayansi ila unaweza ithibitisha wewe binafsi na sio rahisi kumweleza mtu akakuelewa.

Note:Nimetumia neno kiroho ila halina maana kwa ile tafsiri ya kidini.
 
Sawa kaka, tunasubiri tujue ni mstari gani huo na nani ameuchora
Haya ni mambo ya universe itakuhitaji kuwa open minded katika kufungua trasure ila usiwe too attached with religion

Universe inamsapoti MTU na kumvusha katika huo mstari Ila tutaelezea
 
Unaweza ita makataba ya kiroho wa lugha nyepesi , haina uthibitisho wa kisayansi ila unaweza ithibitisha wewe binafsi na sio rahisi kumweleza mtu akakuelewa.

Note:Nimetumia neno kiroho ila halina maana kwa ile tafsiri ya kidini.
Sawa mkuu, nadhani ni mada nzuri hiyo na nitafanya tafiti au kusoma baadhi ya vitu ili nielewe zaidi
 
Lengo la uzi ni wasomaji watafakari kuhusu hayo niliyo eleza, mimi mwenyewe nipo njia panda na nahitaji kujua maoni ya wengine maana wote tumekuwa trapped kwenye huu mfumo
safi kabisa, sema ungeweka hint ya kukaribisha mjadala ingekaa safi zaidi
 
It is a PRISON. This world is a PRISON.

It imprisons your mind, your body and your spirit without your conscious knowledge.

It is a prison without visible gates but yet very strong and powerful.

In order to survive in this prison you must be a slave in one way or another.

Everyone is a slave. Even the MASTERS OF THIS PRISON are slaves themselves in a sort of way.

The GODS and the MASTERS and the POWERS THAT BE of this PRISON are slaves themselves in their own powers.

It is a system that ensnares everything and everyone and spares NONE.

Cc: NAMBA MOJA AJAYE NCHINI DR Mambo Jambo Rabbon
😁😁 humu mtu wa kwanza ninae tamani nimwone kwa macho ni wewe , una aina yako ya kipekee sana 😁😁😁 Dr mambo ni mtu sahihi kwenye huu uzi.
 
Back
Top Bottom