Most Powerful Militaries in Africa

Kama Kenya ipo nafas ya sita basi nafasi ya tano utangulie Somalia,hahahah watu wanne siku nne jeshi zima,polis,wings na special task forces!!!! Shame in u kenyans

ila kwa kweli kenya mlituaibisha..siku nne mnalia na watu wasiozidi kumi.......
 
Kwa kuzingatia ufanisi Jwtz ni hakunaga east and central africa.jwtz wamefanya kazi nzuri Comoro,Iddi Amin Uganda,Frelimo na M 23 DRC Congo.Ni tofauti na majeshi ya majirani zetu ambayo yamekutana na operations chache ukiondoa peacekeeping.Kwa kuangalia vifaa tulivyonavyo,mafunzo ya askari wetu pamoja na discpline we are one of the best armies in the continent na hili Jwtz wamethibitisha na wanaendelea kuthibitisha
 
kenya wamenunua stealth fighters rafale jets toka ufaransa na modified f-15e toka israeli,attack choppers wako na mil-28 na kamov 50 toka urusi,Z-WE harbin toka uchina,MD helicopters a.k.a yy choppers from USA. BDRM scout cars toka Russia,wild cat armoured carriers toka israel na puma armoured cars toka South africa,drones pia wanazo kwa hivyo siwa kuchezewa kwa ukanda huu.source google david goldman ukiweka kila moja nilichotaja, david is a defence analyst.
 
Sasa vile visomali vinne mbona viliwashinda? Afu naskia vilisepa safely.
 
Sasa vile visomali vinne mbona viliwashinda? Afu naskia vilisepa safely.

hawa hawakuwa reece unit ambao wanadeal na wagaidi,walikuwa kdf ambAo wanadeal na conventional war siyo terror ambao wamewachiwa reece unit
 
Teh Teh......yahitaji busara kubishana na mjinga,kwanza muulize vifaru aina ya T-54 na 55 ni vidibushwa vya aina gani,asije akakwambia hivyo vifaru vipo Serengeti mbuga wanaodai kuwa ni yao kwa 100%
 

kwa africa tanzania inashika nafasi ya sita, east and central africa tanzania inaongoza. so hiyo list haijakaa sawa hebu jaribu kuchek vizuri
 
Just open the link below:

Top 10 strongest military in east Africa - WikiAnswers Well tbh you cant even make
a top 10 with the official east of Africa. If you mean the wikipedia version (The
geographic ... wiki.answers.com >
Answers.com > Wiki Answers
> Categories > Travel & Places
> Continents and Regions >
Continents > Africa
 
teh teh......yahitaji busara kubishana na mjinga,kwanza muulize vifaru aina ya t-54 na 55 ni vidibushwa vya aina gani,asije akakwambia hivyo vifaru vipo serengeti mbuga wanaodai kuwa ni yao kwa 100%

poor kenyans, kamuulize kenyata kwanini baba yake alikuwa anaihofia sana tanzania hata kuliko mareaki na urusi?
 
poor kenyans, kamuulize kenyata kwanini baba yake alikuwa anaihofia sana tanzania hata kuliko mareaki na urusi?

ni kweli mzee kenyatta alihofia Tanzania si kwa vita bali kwa kuwa kila mwananchi alikuwa anamiliki gari tofauti na Amerika na Urusi yaani chana mbuga.
 

Sisi hatuna ukabila kama wa kwenu, uliwahi kusikia Bongo tunachaguana kikabila kama ninyi??!.
 

Nadhani utakuwa ni Mungiki wewe, hilo jeshi lenu limekusaidia nini? Mbona unasahau matatizo yenu?.
 
Ukiongea na wa k utapoteza muda wako tu...wezi, wajuaji, wabaguzi
 
hadi jeshi la Kenya nakataa, lililoshindwa westgatena kulipua jengo na kusingizia wameua magaidi watano kumbe magaidi walikuwa wanne hawakuua hata mmoja zaidi ya kuuana wao kwa wao, jeshi halina nidhamu acha utani kabisa...

KDF hiyo hiyo imeteka Kismayu na maeneo mengi tu ya Al Shabab. Westgate haikuwa mahala pa kupeleka jeshi la kivita (aliyechemsha ni amri jeshi wao rookie Kenyatta)
 

True mkuu hasa hapo kwa kenya,westgt issue imeonesha failure kubwa kwa wanajesh wa kenya,yaan aibu tu,ukichek makala maalum ya jicho pevu,aibu tu,
 
True mkuu hasa hapo kwa kenya,westgt issue imeonesha failure kubwa kwa wanajesh wa kenya,yaan aibu tu,ukichek makala maalum ya jicho pevu,aibu tu,
Mkuu Zanishaha Ubarikiwe... La Ajabu utakuta BAJETI ya wizara ya ULINZI (jeshi) ya nchi husika asilimia kubwa kutumika kwa for Defence !!.... Na kila aina ya huduma inaelekezwa jeshini, dedekazo za hali ya juu hutandaziwa Jeshini !!
Lakini wakishutukiziwa tuu!! hamna kitu !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…