Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Chunga usinyanganywe uraia wako na ubandikwe uria upya uitwe mkenya kwa jinsi ulivyoongeaMleta uzi wewe ni mjinga sana. Kwahiyo unataka kwa sababu wana internet penetration kubwa sana waitumie ku stream nyimbo. Tanzania tutaendelea kuwa wajinga.
Below is the list of most streamed artist in Africa. Why Kenya with 90% internet penetration has no single representative while Tanzania with 46% internet penetration has 3 artists.
Hii ni ushahidi tosha kwamba takwimu zenu za watumiaji wa internet za Kenya are very well cooked.
N. B:
content za Muziki, burudani na Michezo ndiyo content zinazoangaliwa zaidi Afrika, and Kenya is not an exception.
.....Nigerian singer Burna Boy has been unveiled as the most-streamed artist in Sub-Saharan Africa, according to Billboard.
On the list titled “Billboard’s Top 15 Sub-Saharan African Artists” which is based on global views, Burnaboy takes the lead with 435.57 million streams, Tanzanian Diamond Platnumz comes in second with 291.98 million streams whiles Davido takes the third spot with 285.76 million.
Also featured on the list is Sinach, the Nigerian gospel singer who became the first African to top the Billboard USA Christian songwriters chart last month.
See below for the full list:
1. Burna Boy – 435.57M[emoji1184]
2. Diamond Platnumz – 291.98M[emoji1241]
3. Davido – 285.76M[emoji1184]
4. Fally Ipupa – 186.5M[emoji1078]
5. Wizkid – 176.23M[emoji1184]
6. Innoss’B – 155.67M[emoji1078]
7. TeknoMiles – 153.07M[emoji1184]
8. Mr Eazi – 139.68M[emoji1184]
9. Harmonize – 138.98M[emoji1241]
10. Rayvanny – 133.69M[emoji1241]
11. Flavour – 130.15M[emoji1184]
12. Sinach – 120.73M[emoji1184]
13. Eddy Kenzo – 109.73M[emoji1254]
14. Yemi Alade – 109.55M[emoji1184]
15. Joeboy – 106.08M [emoji1184]
Kwa hivyo afrika kusini haipo sub-Saharan Africa?!?! Wah!! 😂 😂 😂 😂 And you are just asking this with a lot of confidence. Hivyo ndio mnafundishwa saint kayumba preparatory?
Ona ulivyo PopomaAcha twende nao hvo hvo, mmoja eti anasema diamond kafikisha view 23m ndani ya wiki 3..
Kumbe anasahau km mchango wa koffi ni mkubwa sana katima ule wimbo..
Sasahivi JF imejaa Mikenya mbumbumbu kupindukiaAisee, JF kutojua kitu na kuuliza inaonekana ni upumbavu na uzwazwa!
Umeshindwa kunijibu vizuri kweli!
Koffi huyu huyu aliyekuwa na followers laki saba halafu baada ya wimbo kutoka akafanikiwa kufikisha followers 1M!Acha twende nao hvo hvo, mmoja eti anasema diamond kafikisha view 23m ndani ya wiki 3..
Kumbe anasahau km mchango wa koffi ni mkubwa sana katima ule wimbo..
Unawataja as if ni rika lenu[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hivyo hata South Africa na Misri ambao hawana wasanii kwenye hiyo list pia wanacook data zao za internet penetration? Reasoning yenu ni ya ujinga sana!
23m ndani ya mwezi wimbo waitwa waah ft kofi olomideKwn diamond ana wimbo gani huo wa 10m views ndani ya wiki mbili
HayupoWapi Ali Kiba???[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Ranking ya kifala sana!Wapi Ali Kiba???[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Chunga usinyanganywe uraia wako na ubandikwe uria upya uitwe mkenya kwa jinsi ulivyoongea
Ata wewe UKo na hizi reasoning za kitanzania(kindergarten!!!Shilole Ana 7M+Followers
Nitajie Mtu yeyote Kenya Anaye mfikia
Bila collabo hiyo hakuna views hao. Angalia nyimbo nyingi zina views wengi lazma ukute kuna kichwa toka njeTena kakosea Wiki 3
Aa 23Ml
Watasema wasikilizaji wanatoka nje ya Tz
Answer that simple question badala ya kuleta feelings hapa. Hao SA na misri pia wanacook data zao kama Kenya?Unawataja as if ni rika lenu[emoji23][emoji23][emoji23]
Wimbo wake na koffi kumbe23m ndani ya mwezi wimbo waitwa waah ft kofi olomide
Bongolala 😂FOOL!
Sasa kwn uongo, niletee wimbo wa diamond na wale vikaragosi wake wa wasafi uliofanikisha hilo..Koffi huyu huyu aliyekuwa na followers laki saba halafu baada ya wimbo kutoka akafanikiwa kufikisha followers 1M!
Wanaokupiga spana huwa wanakuonea tu.
Hilo halibadilishi km yeye ni lengendary na anajulikana kote kote..Ona ulivyo Popoma
Huyo Kofii.anasherehekea kufikisha 100K
Kwa Siku 2
Niambie wimbo gani wa Kofii Amefikisha hata 5Ml kwa Mwezi?