Tetesi: Most tanzanian University students love president uhuru Kenyatta these are the reasons

Tetesi: Most tanzanian University students love president uhuru Kenyatta these are the reasons

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
1.kenyans enjoy full democracy while Tanzania is under dictatorship
2.Freedom of expression in Kenya
3.Free politics to all political parties
4.Uhuru unified Kenyans magufuli is enlarging the differences among Tanzanias
5.uhurus Spirit of forgiveness unlikely jpm who doesn't want to see lisu in East Africa let alone Tanzania
6.uhuru is a new generation politician ours is of 19th century
7.Kenya is a safe place for gvt critics unlikely bongo u may be gunned or kidnapped heko na hongera kwa president Uhuru Kenyatta we Tanzanias loves you


You may add more ....
 
1.kenyans enjoy full democracy while Tanzania is under dictatorship
2.Freedom of expression in Kenya
3.Free politics to all political parties
4.Uhuru unified Kenyans magufuli is enlarging the differences among Tanzanias
5.uhurus Spirit of forgiveness unlikely jpm who doesn't want to see lisu in East Africa let alone Tanzania
6.uhuru is a new generation politician ours is of 19th century
7.Kenya is a safe place for gvt critics unlikely bongo u may be gunned or kidnapped heko na hongera kwa president Uhuru Kenyatta we Tanzanias loves you


You may add more ....

Acha kujichanganya mzee,
Tanzania is ahead of Kenya in Democracy indices.
Hakuna Mtanzania Anae admire siasa za kikabila za Kenya,
I may admit that many Tanzanians Love Uhuru only because The Dude is Kind and has Good Heart, but When it comes to Leadership he is Very incompetent,
You will never compare Your Mlevi, Thief Uhuru to Jembe Magufuli who is now Mentioned in the Entire World for his nonsense Approach, Never Ever,
Eti Democracy my Dick, Mnachinjana mamia kwa mamia kila uchaguzi, where is Chris Msando? Kenya is a shithole country, Kikuyus are there to make sure that Luo never Lead Kenya.
 
Acha kujichanganya mzee,
Tanzania is ahead of Kenya in Democracy indices.
Hakuna Mtanzania Anae admire siasa za kikabila za Kenya,
I may admit that many Tanzanians Love Uhuru only because The Dude is Kind and has Good Heart, but When it comes to Leadership he is Very incompetent,
You will never compare Your Mlevi, Thief Uhuru to Jembe Magufuli who is now Mentioned in the Entire World for his nonsense Approach, Never Ever,
Eti Democracy my Dick, Mnachinjana mamia kwa mamia kila uchaguzi, where is Chris Msando? Kenya is a shithole country, Kikuyus are there to make sure that Luo never Lead Kenya.
I am a Tanzanian and this is what I see Kenya under UK and Tz under JP
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Eti wanafunzi wa Tanzania hahaha! Kwanza watanzania majority hata hawafuatilii siasa za Kenya, wanaofuatilia siasa za wenzao kuliko zao ni wakenya

Angalia videos za JPM YouTube zilivyojaa comments za wakenya wakimuabudu, angalia viongozi na wananchi wa Kenya wanavyomuongelea JPM kwenye social media zao halafu nionyeshe mtanzania anaefanya hivyo kwa Kenya

Halafu JPM sio level ya Kenya, JPM anaongelewa ulimwenguni kote mpaka wasio ongea kiswahili na English wanamuongelea JPM



Huyo Uhuru ukivuka hapo Namanga hakuna mtu anamjua
 
1.kenyans enjoy full democracy while Tanzania is under dictatorship
2.Freedom of expression in Kenya
3.Free politics to all political parties
4.Uhuru unified Kenyans magufuli is enlarging the differences among Tanzanias
5.uhurus Spirit of forgiveness unlikely jpm who doesn't want to see lisu in East Africa let alone Tanzania
6.uhuru is a new generation politician ours is of 19th century
7.Kenya is a safe place for gvt critics unlikely bongo u may be gunned or kidnapped heko na hongera kwa president Uhuru Kenyatta we Tanzanias loves you


You may add more ....

If you can give a sort of the source so as we can also gain some insight from it.
 
1.kenyans enjoy full democracy while Tanzania is under dictatorship
2.Freedom of expression in Kenya
3.Free politics to all political parties
4.Uhuru unified Kenyans magufuli is enlarging the differences among Tanzanias
5.uhurus Spirit of forgiveness unlikely jpm who doesn't want to see lisu in East Africa let alone Tanzania
6.uhuru is a new generation politician ours is of 19th century
7.Kenya is a safe place for gvt critics unlikely bongo u may be gunned or kidnapped heko na hongera kwa president Uhuru Kenyatta we Tanzanias loves you


You may add more ....
Crap
 
Acha kujichanganya mzee,
Tanzania is ahead of Kenya in Democracy indices.
Hakuna Mtanzania Anae admire siasa za kikabila za Kenya,
I may admit that many Tanzanians Love Uhuru only because The Dude is Kind and has Good Heart, but When it comes to Leadership he is Very incompetent,
You will never compare Your Mlevi, Thief Uhuru to Jembe Magufuli who is now Mentioned in the Entire World for his nonsense Approach, Never Ever,
Eti Democracy my Dick, Mnachinjana mamia kwa mamia kila uchaguzi, where is Chris Msando? Kenya is a shithole country, Kikuyus are there to make sure that Luo never Lead Kenya.
Hapo kwenye "hakuna Mtanzania", umekosea, nipo mimi nazikubali siasa za Kenya kwa sasa, kuliko za Tanzania. Kwahiyo acha kunisemea.
 
Eti wanafunzi wa Tanzania hahaha! Kwanza watanzania majority hata hawafuatilii siasa za Kenya, wanaofuatilia siasa za wenzao kuliko zao ni wakenya

Angalia videos za JPM YouTube zilivyojaa comments za wakenya wakimuabudu, angalia viongozi na wananchi wa Kenya wanavyomuongelea JPM kwenye social media zao halafu nionyeshe mtanzania anaefanya hivyo kwa Kenya

Halafu JPM sio level ya Kenya, JPM anaongelewa ulimwenguni kote mpaka wasio ongea kiswahili na English wanamuongelea JPM



Huyo Uhuru ukivuka hapo Namanga hakuna mtu anamjua


Aha haaa
🤣🤣😂
Who can talk about "a business as usual president kenyatta". Nothing is new to talk regarding him.
He is now busy selling his country to Chinese. Every project is financed by loan. It has now reached the point, they are taking more new loans to finance the old loans. Bad enough even salaries for public servants are paid through loans. One can wonder, where is tax money which KRA is yapping to collect much.
 
Aha haaa
🤣🤣😂
Who can talk about "a business as usual president kenyatta". Nothing is new to talk regarding him.
He is now busy selling his country to Chinese. Every project is financed by loan. It has now reached the point, they are taking more new loans to finance the old loans. Bad enough even salaries for public servants are paid through loans. One can wonder, where is tax money which KRA is yapping to collect much.
Hana

He's pro mungiki
Eti wanafunzi wa Tanzania hahaha! Kwanza watanzania majority hata hawafuatilii siasa za Kenya, wanaofuatilia siasa za wenzao kuliko zao ni wakenya

Angalia videos za JPM YouTube zilivyojaa comments za wakenya wakimuabudu, angalia viongozi na wananchi wa Kenya wanavyomuongelea JPM kwenye social media zao halafu nionyeshe mtanzania anaefanya hivyo kwa Kenya

Halafu JPM sio level ya Kenya, JPM anaongelewa ulimwenguni kote mpaka wasio ongea kiswahili na English wanamuongelea JPM



Huyo Uhuru ukivuka hapo Namanga hakuna mtu anamjua

Wewe ni Mtanzania wa Wapi? Tuzungumze Kiswahili.
CCM fanatics naona Ni povu tu...kwenu maguo Ni Mungu hata Kama Nchi inai gia Ndaaaaaaani ya LDC zaidi?
 


CCM fanatics naona Ni povu tu...kwenu maguo Ni Mungu hata Kama Nchi inai gia Ndaaaaaaani ya LDC zaidi?

Basing on the size of your brain, you won't understand Magufuli until is out of power.
So just relax.
 
Acha kujichanganya mzee,
Tanzania is ahead of Kenya in Democracy indices.
Hakuna Mtanzania Anae admire siasa za kikabila za Kenya,
I may admit that many Tanzanians Love Uhuru only because The Dude is Kind and has Good Heart, but When it comes to Leadership he is Very incompetent,
You will never compare Your Mlevi, Thief Uhuru to Jembe Magufuli who is now Mentioned in the Entire World for his nonsense Approach, Never Ever,
Eti Democracy my Dick, Mnachinjana mamia kwa mamia kila uchaguzi, where is Chris Msando? Kenya is a shithole country, Kikuyus are there to make sure that Luo never Lead Kenya.

Kwa sasa hivi hapa Afrika hakuna anayemfikia rais Uhuru kwa upatanishi, diplomasia na jitihada zake kwenye uwiano, binafsi mimi hapa ni mmojawapo wa ambao humuunga mikono, lakini mara nyingi nimejikuta napata hasira jinsi anaachia misimamo na kupatana na kila mtu.

Tumemuona akimpokea kiongozi wa upinzani Raila Odinga na kuendana naye vizuri tu na kusababisha wafuasi wa pande zote mbili kukumbatiana, tumemuona akivumilia uchokozi wa kila aina uliokua unatokana na rais wenu, yaani amevumilia kiburi cha kiongozi wenu, akajishusha na kuonyesha ukomavu wa hali ya juu wa kisiasa na kidemokrasia, leo hii Watanzania na Wakenya wanashirikiana kwa kila hali na mali, ukiondoa malofa ambao hupigiana makelele humu JF.
Pia vivyo hivyo kwa majirani zetu wengine, amechokozwa kwa njia zote ila amefaulu kupangua mzuka wote wa majirani uliokua unaendeshwa na chuki na kiburi, leo hii tunashirkiana sana, amefaulu hata kupenya Ethiopia ambao walikua hawaingiliki.

Tukiangalia kwa nchi yenu leo hii mnagawanyika kupita ilivyokua awali, tumeona Watanzania wanasheherekea kukamatwa kwa ndege, tumeona wengine wanasherekea timu ya taifa kufungwa kisa CCM imetwaa kila kitu na kukifanya cha chama, chembe chembe za ukabila na ukanda zimewanyemelea kupita wakati mwengine wowote, nimeona hata humu nyuzi zinaanzishwa na Wasukuma wakijisifu na kutambia Watanzania wengine.
Nimeona na kubaki kinywa wazi kwa mshangao hotuba zinatolewa za kuponda watu waliopo kwenye majimbo ya upinzani za kuwakumbushia kwamba maendeleo kwao yamechelewa kisa walichagua wabunge wa upinzani, huku mkichomekea kwamba maendeleo hayana chama.
Polisi wanafanya kampeni za chama cha CCM bila aibu wala kuwajibishwa
 
Nyuzi kama hizi hazihesabiki humu Jf, tena sio kwenye jukwaa hili la Kenya. Taji la baba wa demokrasia alivishwa na watanzania, sio wakenya. Ila nimefurahi kusikia kwamba ni wasomi ndio wanamuunga mkono rais U.K. Wale wenye uelewa mdogo kuhusu demokrasia waendelee tu kulishwa wali kwenye kampeni na kuhongwa na t-shirt na kofia, hakuna mtu ambaye ana muda nao.
 
Siku zote mru anayejielewa haburuzwi
1.kenyans enjoy full democracy while Tanzania is under dictatorship
2.Freedom of expression in Kenya
3.Free politics to all political parties
4.Uhuru unified Kenyans magufuli is enlarging the differences among Tanzanias
5.uhurus Spirit of forgiveness unlikely jpm who doesn't want to see lisu in East Africa let alone Tanzania
6.uhuru is a new generation politician ours is of 19th century
7.Kenya is a safe place for gvt critics unlikely bongo u may be gunned or kidnapped heko na hongera kwa president Uhuru Kenyatta we Tanzanias loves you


You may add more ....
 
Heheeee!!hku kila uchaguzi lazima mfuatilie ya kenya km kunaendaje...usinichekeshe mie...nyinyi msipofuata politics zetu mna kitu kingine kwel
Eti wanafunzi wa Tanzania hahaha! Kwanza watanzania majority hata hawafuatilii siasa za Kenya, wanaofuatilia siasa za wenzao kuliko zao ni wakenya

Angalia videos za JPM YouTube zilivyojaa comments za wakenya wakimuabudu, angalia viongozi na wananchi wa Kenya wanavyomuongelea JPM kwenye social media zao halafu nionyeshe mtanzania anaefanya hivyo kwa Kenya

Halafu JPM sio level ya Kenya, JPM anaongelewa ulimwenguni kote mpaka wasio ongea kiswahili na English wanamuongelea JPM



Huyo Uhuru ukivuka hapo Namanga hakuna mtu anamjua
 
Siasa za wali karne hii..yani nilicheka sana kuona tanzania hulishwa wali wakati wa compaign [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyuzi kama hizi hazihesabiki humu Jf, tena sio kwenye jukwaa hili la Kenya. Taji la baba wa demokrasia alivishwa na watanzania, sio wakenya. Ila nimefurahi kusikia kwamba ni wasomi ndio wanamuunga mkono rais U.K. Wale wenye uelewa mdogo kuhusu demokrasia waendelee tu kulishwa wali kwenye kampeni na kuhongwa na t-shirt na kofia, hakuna mtu ambaye ana muda nao.
 
Back
Top Bottom