pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Sera za nini?Siasa za wali karne hii..yani nilicheka sana kuona tanzania hulishwa wali wakati wa compaign [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sera za nini?Siasa za wali karne hii..yani nilicheka sana kuona tanzania hulishwa wali wakati wa compaign [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
You might be a century stupid and your more biased #can you recall what happened during Kenyan election when the ICT director was killed Mjinga sana wewe ninyi ndio wajinga wachache wanaoichafua Tanzania. StupidI am a Tanzanian and this is what I see Kenya under UK and Tz under JP
😂😂😂 Tanzania kuna watu wa aina hii? Hivi mnatamani fisadi, mkabila na mwizi wa ardhi?1.kenyans enjoy full democracy while Tanzania is under dictatorship
2.Freedom of expression in Kenya
3.Free politics to all political parties
4.Uhuru unified Kenyans magufuli is enlarging the differences among Tanzanias
5.uhurus Spirit of forgiveness unlikely jpm who doesn't want to see lisu in East Africa let alone Tanzania
6.uhuru is a new generation politician ours is of 19th century
7.Kenya is a safe place for gvt critics unlikely bongo u may be gunned or kidnapped heko na hongera kwa president Uhuru Kenyatta we Tanzanias loves you
You may add more ....
Sera za nini?Kura tayari! [emoji1]![]()
[emoji23][emoji23][emoji23] Tanzania kuna watu wa aina hii? Hivi mnatamani fisadi, mkabila na mwizi wa ardhi?
1.Magufuli anasifiwa na Transparency international (NGO) kwa uwazi wake na vita dhidi ya ufisadi.
2. Worldbank wanamsifu wa miradi yake yenye tija
3.Democracy index bado Tz Ni kinara Afrika
Mnatamani "Freedom" ipi? Uhuru wa kuiba? uhuru wa siasa za kikabila? Uhuru wa kuuana kila baada ya chaguzi? Uhuru wa kuchoma biashara za wenzio eti maadamano? Uhuru wa kuiba kura? Uhuru wa kutisha majaji waki batilisha chaguzi? Uhuru wa viongozi kujilipa mishahara minono? - Hii ndio taswira ya kenya..
Mjinga mamako na mliompiga lisu risasiYou might be a century stupid and your more biased #can you recall what happened during Kenyan election when the ICT director was killed Mjinga sana wewe ninyi ndio wajinga wachache wanaoichafua Tanzania. Stupid
Stupid! kizazi cha kwako cha kijinga ndio mnaoleta hasara katika nchi yetuMjinga mamako na mliompiga lisu risasi
Wakenya wako vizur ktk democracy, Watanzania tupo under silent dictatorship regime