Most Tz problem begin with letter P

Most Tz problem begin with letter P

kariri huu wimbo wa shindano la mwimbaji bora wa chitchat yawezekana ukashinda wewe usikose bahati yako ii iko mlangoni hapa haya kazi kwako soma hapa na kariri kilele ni tarehe 6/7/2013
1. Ni wakati wa furaha, nderemo na vifijofijo,
wakati wa kujiachia kwa raha zetu,
tukumbukapo huko nyuma tulikotoka na cc jf
viongozi imara walishika hima, kuongoza cc yetu daima
na leo tuko pamoja tukifurahia, uwepo wako na jirani yako
wauonaje best, isingekuwepo chitchat ungemjuaje,
Invisible robot kaza buti mwana, kuimarisha na kuwapa ban
kwa wale wasio na walio wagomvi, wenye kuleta mafarakano
na malumbano yasiyo na msingi wowote, kazi kwako twakupa,

chorus: Tumekuweka mbele yetu, wewe shujaa kiongozi wetu,
endeleza mapambano dhidi ya wale wasumbuao wenzao
huimarishe cc yetu kwa upendo na furaha tele
nasi tufurahi na kuwa pamoja daima x2

2. Rafiki mpendwa wangu wa moyo, niliyekuchagua wewe pekee,
ona jinsi ninavyojitolea kukutumia pm nyingi kwa ajili yako,
Ninaacha kazi na shughuli zangu, nakaa na ipad, laptop yangu,
kukukumbuka na kuchat nawe, kila saa na kila wakati,
nionapo jinalako na avatar yako, macho hujawa na upendo mwingi,
na pale nikuonapo ukinicomment kwenye yangu post,
nabaki kujawa na furaha isiyopimika wala kuwa na mfano.
Napend unapoitikia wito wa kuwa karibu yangu, na kuniona wapekee,
Sina la cha kukulipa basi pokea upendo wangu kwako
quote_icon.png
By Mnama
kazoea corolla, siku kapandishwa kwenye nissan patrol yakamshinda
 
Naona leo dada yangu kafungulia kwelikweli..... ngoja nikimbie kama Kaka wa Ukweli 🙂

By the way: Pete nazo vipi?

mens-wedding-rings-298x300.jpg


Pipi kijiti
Pilau (niliikuta hii kijijini; ikimaanisha Porno movies)
Punyeto
Plagiarism
Pasting (after copying somewhere)
Pirating (movie and music industry)
Photoshopping (mikutano ya magamba ionekane imejaza watu)
 
Pingamizi (hasa dhidi ya mikutano ya Chadema)

porojo (hasa kwenye ahadi za CCM).

Papala (hasa kwenye majibu ya Pinda.)
 
Piga tu (mh. Pinda)

Pingamizi (hasa dhidi ya mikutano ya Chadema)

porojo (hasa kwenye ahadi za CCM).

Papala (hasa kwenye majibu ya Pinda.)
 
my cousin naomba uanze kuandaa shindano la msanii, wimbo bora huko mwanza kwani tukimaliza dar tarehe 6/7/2013 tunahamia mwanza anza kutafuta member wa cc ili tuje huko kutoa award kwa yule atakayeshinda na wimbo utakao shinda mwambie Jiwe Linaloishi akupe njia za kufanya ili kuandaa kitu hicho. nakutegemea huko bestito

Well noted my cousin!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom