CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Now day kuna motivations stories nyingi sana, Uki google utakutana na stories za kila aina,
Kuna hadi Motivation speaker wakina James Mwang'amba na wengineo kila siku utawasikia wapo Holday inn wanatoa stories za matumaini
Kuna vitabu vya kutosha kabisa na kuna watu wanavisoma kila siku.
Kuna story kwenye mitandao ya kijamii jinsi mtu alivyo anza na my be sh elfu 10 na sasa ni tajiri au jinsi alivyo fuga na sasa yuko mbali.
Ni kwamba Hizi story ni kazi bure kama wewe hujajikana.
Vitendo kama vya Uchangudoa, Ushoga, kutumia madawa ya kulevya, Ulevi na kadhalika huwa hawa watu wanaacha kabisa hivi vitendo.
Ili changudoa aamue kuacha Uchangudoa lazima aukane huo Uchangudoa kutoka moyoni mwake.
Shoga anaweza acha ushoga pale tu atakapo chukia ushoga kutoka moyoni mwake.
Changudoa bila kuukana Uchangudoa anaweza jikuta ameolewa na bado akaendelea kujiuza kwa sababu hakuwahi kuukana uchangudoa.
Kuamua kuwa mjasiriamali lazima uukane umasikini, lazima uuchukie umasikini na lazima uchukie kutumikishwa na lazima haya yatoke moyoni mwako.
Bila kuukana na kuchukia utumwa utaishia kujaza Flash disk na story za walio fanikiwa na usifanye chochote.
Utasoma kila aina ya vitabu na utajaza vitabu nyumbani kwako ila hutafanya chochote.
Hii ni kwa sababu hujawahi ikana hari ulio nayo kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna hadi Motivation speaker wakina James Mwang'amba na wengineo kila siku utawasikia wapo Holday inn wanatoa stories za matumaini
Kuna vitabu vya kutosha kabisa na kuna watu wanavisoma kila siku.
Kuna story kwenye mitandao ya kijamii jinsi mtu alivyo anza na my be sh elfu 10 na sasa ni tajiri au jinsi alivyo fuga na sasa yuko mbali.
Ni kwamba Hizi story ni kazi bure kama wewe hujajikana.
Vitendo kama vya Uchangudoa, Ushoga, kutumia madawa ya kulevya, Ulevi na kadhalika huwa hawa watu wanaacha kabisa hivi vitendo.
Ili changudoa aamue kuacha Uchangudoa lazima aukane huo Uchangudoa kutoka moyoni mwake.
Shoga anaweza acha ushoga pale tu atakapo chukia ushoga kutoka moyoni mwake.
Changudoa bila kuukana Uchangudoa anaweza jikuta ameolewa na bado akaendelea kujiuza kwa sababu hakuwahi kuukana uchangudoa.
Kuamua kuwa mjasiriamali lazima uukane umasikini, lazima uuchukie umasikini na lazima uchukie kutumikishwa na lazima haya yatoke moyoni mwako.
Bila kuukana na kuchukia utumwa utaishia kujaza Flash disk na story za walio fanikiwa na usifanye chochote.
Utasoma kila aina ya vitabu na utajaza vitabu nyumbani kwako ila hutafanya chochote.
Hii ni kwa sababu hujawahi ikana hari ulio nayo kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app