Motivation stories/Kusoma vitabu vya biashara ni kazi bure tu kama hujakaina hari ulio nayo kwa sasa.

Motivation stories/Kusoma vitabu vya biashara ni kazi bure tu kama hujakaina hari ulio nayo kwa sasa.

Wacha kukatisha watu tamaa

Wengi tu wanafanikiwa na wako inspired kwa kusoma na kupitia vitabu mbalimbali

Mimi tu nimejianzisha biashara na inaenda vizuri baada ya kusikiliza speech za waliofanikiwa katika ujasiliamali

Ukishindwa wewe ni wewe na sababu zako huko, tafadhali pambana na hali yako!

Unaweza kuwa umeshajikana mwenyewe bila kujua.
 
Hakuna nilipo sema ukisoma vitabu huwezi fanikiwa, shida zenu huwa mnakurupuka ku coment bila kusoma. huna tofauti na wale walio saini mikataba ya madini wao walisaini bila kusoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kujikanyanga!

Umesema hizo stori zote ni uongo, sasa mbona unajikana mwenyewe

Mimi nimefanikiwa na kuwa inspired kupitia hizo vitu unazozipinga!

D.A "Mwanaume mashine"
 
Unaweza kuwa umeshajikana mwenyewe bila kujua.
mtu anaweza kujikana baada ya kuwa motivated kwa kusikiliza mtu aliyefanikiwa alitumia mbinu gani hadi kufikia kujikana

Huyu mtoa mada amefeli na kamwe usipende kuwasiliza waliofeli mkuu

D.A "Mwanaume mashine"
 
Mtoa Mara ana jambo la msingi sana katika hoja yake. Tuwe watu wa kuheshimu mawazo ya wengine.
 
Kuna watu hu coment kutafuta sifa humu.

Ninacho zungumzia ni kwamba Bila kuchukia umasikini na hari ulio nayo hata ukisikiliza hizo story ni kazi bure.

Story ni nzuri kusikiliza ila ni nzuri kwa mtu anaye fanya maamuzi.

Sikiliza na fanya maamuzi ya kuchukia umasikini.

Na ili kufanya maamuzi lazima ukane hari ulio nayo kwa sasa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kwamba mimi sisomi vitabu nasoma sana na nasikiliza sana Motivation ila nisha kana hari ya umasikini nisha kana hari nilio nayo kwa sasa.

Nitaendelea kusoma na kusikiliza kwa sababu nisha chukia kitendo cha sasa kutoka rohoni,

Ninacho shauri ni kwamba lazima uuchukie umasikini, lazima uichukie hari uliyo nayo kwa sasa.

Lazima kuikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom