Motivational speakers, tunaomba mzungumze mambo yanayowezekana

Motivational speakers, tunaomba mzungumze mambo yanayowezekana

sunv

Member
Joined
May 19, 2020
Posts
44
Reaction score
32
Hawa motivational speakers, hivi wanatuonaje sisi wamekuwa watu wa kuzungumza vitu ambavyo ni impossible kwa kutuaminisha kuwa vinawezekana.

Kwa mfano: Kuna mmoja anasema alianza na mtaji wa mia tano mpaka sasa ana million 80 na ukimuangalia hafanani na hiyo million 80.

Tunawaomba mzungumze mambo yanayowezekana.[emoji3]
 
"It always seems impossible until it's done". Kwa yeyote asemaye, haiwezekani, ni wazi kwamba kajaribu mara moja au mbili ama hajajaribu kabisa, kupata matokeo tarajiwa.
 
Si kwamba haiwezekani, inawezekana sana sema inahitaji muda na uvumilivu wa kutosha, Hakuna kisicho wezekana, soma Historia za walivyo anza wakina Amazon, Google ndo utaelea kwamba inawezekana sana tena sana.

Bahati mbaya sisi tumeaminisha kwebye kuwa na mitaji mikubwa ndo tuanze biashara.
 
"It always seems impossible until it's done". Kwa yeyote asemaye, haiwezekani, ni wazi kwamba kajaribu mara moja au mbili ama hajajaribu kabisa, kupata matokeo tarajiwa.
Mkuu nawashangaa sana hata mimi, Hakuna kisicho wezekana, watu tubakosa tu Vision na ile commitment
 
Kuna mmoja huyo alianza ufugaji na manyoya matatu aliyoyaokota sokoni
sasa ana kuku 5686289
Hapo kinachozunguzwa ni ile dhamira ya dhati "imagination" na siyo "intention" aliyonayo mtu kwanza kabla ya kutekeleza mradi aliyoukusudia.
 
Hawa motivational speakers, hivi wanatuonaje sisi wamekuwa watu wa kuzungumza vitu ambavyo ni impossible kwa kutuaminisha kuwa vinawezekana. Kwa mfano kuna mmoja anasema alianza na mtaji wa mia tano mpaka sasa ana million 80 na ukimuangalia hafanan na hiyo million 80. Tunawaomba mzungumze mambo yanayowezekana.[emoji3]
Inawezekana mbona!

Jero aliitumia kama nauli kwenda kuvunja duka akaiba mamilioni

Sijui mnawapendea nini hao wezi wa majukwaani
 
Mkuu nawashangaa sana hata mimi, Hakuna kisicho wezekana, watu tubakosa tu Vision na ile commitment
Mku wengi wetu, tunasahau muda unaotumika kuichora ramani ya kitu mpaka kuanza kuitumia ramani hiyo. Tunataka kuona matokeo chanya tu, hatukotayari kujifunza na kujiboresha kupitia matokeo hasi kwa mradi bunifu.
 
Si kwamba haiwezekani, inawezekana sana sema inahitaji muda na uvumilivu wa kutosha, Hakuna kisicho wezekana, soma Historia za walivyo anza wakina Amazon, Google ndo utaelea kwamba inawezekana sana tena sana.

Bahati mbaya sisi tumeaminisha kwebye kuwa na mitaji mikubwa ndo tuanze biashara.
Wewe uliyewasoma hao Amazon unaendeleaje Apo ulipo?
 
Si kwamba haiwezekani, inawezekana sana sema inahitaji muda na uvumilivu wa kutosha, Hakuna kisicho wezekana, soma Historia za walivyo anza wakina Amazon, Google ndo utaelea kwamba inawezekana sana tena sana.

Bahati mbaya sisi tumeaminisha kwebye kuwa na mitaji mikubwa ndo tuanze biashara.
Ni kweli hata mimi nakubali, inawezekana. Kuna jamaa wameanza kwa kutembeza kapu la karanga za kupima na wakafika mbali. Ila tuwe wakweli. Inawezekana kwa mtu mmoja kati ya watu 10,000 wanaojaribu. Kosa kubwa la hawa wahamasishaji ni kuwa waelezea kana kwamba kila mtu atakayefanya atafaulu. Kumbe sivyo. Na hawa wanaolaumu ni kuwa wanaingia kwenye shughuli wakiwa na matumaini ya 99% kuwa watafanikiwa. Kumbe sivyo.
 
Hawa motivational speakers, hivi wanatuonaje sisi wamekuwa watu wa kuzungumza vitu ambavyo ni impossible kwa kutuaminisha kuwa vinawezekana.

Kwa mfano: Kuna mmoja anasema alianza na mtaji wa mia tano mpaka sasa ana million 80 na ukimuangalia hafanani na hiyo million 80.

Tunawaomba mzungumze mambo yanayowezekana.[emoji3]
Motivational speaker anakwea boda boda
 
Back
Top Bottom