Si kwamba haiwezekani, inawezekana sana sema inahitaji muda na uvumilivu wa kutosha, Hakuna kisicho wezekana, soma Historia za walivyo anza wakina Amazon, Google ndo utaelea kwamba inawezekana sana tena sana.
Bahati mbaya sisi tumeaminisha kwebye kuwa na mitaji mikubwa ndo tuanze biashara.