bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,217
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza genye, mie nimeleta taarifa au nimesema naumia au nafurahia?We unaumia nn mkuu, Kwa hlo ofis kuungua
Pesa za kuwalipa kina Kingai Majaji, mawakili, kwa kesi za michongo zipo. Ila za vitendea kazi ni issue. Ccm Mungu ana waonaDuh,
Yaani gari mpaka litoke KIA au Arusha!!?
Wea not serious.
Mitano tenaDuh,
Yaani gari mpaka litoke KIA au Arusha!!?
Wea not serious.
mbona kariako iliungua na ni jiji bwasheMoshi mnataka ipewe hafhi ya jiji kumbe hata zimamoto hamna?
La Kariakoo usilizungumzie kwani bado tunasubiri ripoti ya chanzo Cha Moto, walengwa pamoja na wahusikambona kariako iliungua na ni jiji bwashe
kariako c iko ndani ya jiji mbona fire ilichelewa? namaanisha hvyo bwashe nimejibu kutokana na ulivyoandika mku kuungua kwa moto sehemu na kuchelewa kwa faya ni uzembe wa sekta ya zimamoto kinachotakiwa wahusika kujianda kabla ya majanga cio tatzo litoke ndio muanze kujiandaLa Kariakoo usilizungumzie kwani bado tunasubiri ripoti ya chanzo Cha Moto, walengwa pamoja na wahusika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti apunguze nini mkuu?Nimecheka kibwege wallahPunguza genye, mie nimeleta taarifa au nimesema naumia au nafurahia?
Weka picha.Bungeni tu pale ile bendnera imechookaa duh, mpaka imechanika na kupauka balaa, hilo ndilo bunge la JMT.
CCM hao wamedhubutu,wameweza na wanasonga mbele.Duh,
Yaani gari mpaka litoke KIA au Arusha!!?
Wea not serious.
Hello guys,
Taarifa iliyopo na ya kweli ni kwamba ofisi za Tanroad Moshi karibu na idara ya maji inawaka Moto kwa takribani 3 hrs Sasa fire wameshindwa kuzima,kwa kukosa vifaa na magari,
Wanasubiria gari kutoka KIA NA ARUSHA
NItazidi ku update
Moto wa mchongo watu wameshapiga chao,fire iko mtaa wa nyuma kwa hapo kama sikoseiHello guys,
Taarifa iliyopo na ya kweli ni kwamba ofisi za Tanroad Moshi karibu na idara ya maji inawaka Moto kwa takribani 3 hrs Sasa fire wameshindwa kuzima,kwa kukosa vifaa na magari,
Wanasubiria gari kutoka KIA NA ARUSHA
NItazidi ku update
Matatizo ya kukariri kujibu comment, hiyo video ni ma*t*k yakoWeka picha.