nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,903
Sasa hili limeusikaje kwenye trending
😁😁hapa ndo pale mwl wa math huwa anapasema
Hii weka kwenye vituko mitandaoni au hata kwenye hizi thread zinazo husu bandari bandari..
cocastic weee!.Kashaishiwa Domokayaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani kwaiyo anamaanisha Tz nzima music kaushikilia yeye ama,
Jamaa anajiona yeye mwisho muda alioanza kuimba wakina burna.boy,Joe boy ,walikuwa hawako kwa trending Leo hii ukiwaonaYani kwaiyo anamaanisha Tz nzima music kaushikilia yeye ama,
Wakina Davido burna.boiWenzao wanajaza ma Arena huko
Mbingu na Ardhi.Wakuu,
Kuna vita ya trending kwa wasanii wetu wa bongo fleva.
Hivi siku za hivi karibuni Alikiba na Diamond platnumz wameonesha kabisa wako katika bifu zito za mziki katika Ku trend na kushindanda view YouTube.
Tuambie unaliongeleaje hill suala kwa mdau wa mziki kati ya TEAM KIBA NA TEAM DIAMOND
My baby ni nyimbo nzuri na inafanya vzur sema siaina ya nyimbo wabngo tunapndaKwenye swala la trending hasa youtube kwa bongo WASAFI ni next level,but kwa sasa diamond ameshuka kidogo kwa hilo,kuna huu wimbo wake wa my baby ni flop sana ukilinganisha na ngoma zake za huko nyuma,haujatrend kabisa,ameniudhi kudakia hii ngoma ya enjoy kumbe sio yake jux ndio apewe shoutout ye abaki na hiyo MY BABY yake[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii kujaza arena kwa hawa jmaa wala isikushtue mkuu jmaa wana watu mbele huko usifananishe people za magharibi na east kwa wingiWakina Davido burna.boi
Nakazia [emoji3]Kashaishiwa Domokayaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani huu wimbo wake? Aweke ile iliyobuma sijui My Baby