Moto umewaka, Diamond na Alikiba washindana kwa trending YouTube

Moto umewaka, Diamond na Alikiba washindana kwa trending YouTube

Hizi nyimbo mbili za diamond zote sio hit songs ndio mana amerukia wimbo wa jux ambao ndio hit song ila zake hakuna kitu
 
Wakati Burnaboy na Lerma wanashindania Tuzo kubwa Worlwide Hawa wabongo wanashindania view youtube😅😅😅 Chino Wan Man ndio mtaalamu wa Amapiano Tz
 
Wakuu,

Kuna vita ya trending kwa wasanii wetu wa bongo fleva.

Hivi siku za hivi karibuni Alikiba na Diamond platnumz wameonesha kabisa wako katika bifu zito za mziki katika Ku trend na kushindanda view YouTube.

Tuambie unaliongeleaje hill suala kwa mdau wa mziki kati ya TEAM KIBA NA TEAM DIAMOND
Kipindi cha nyuma Kiba alikuwa anaponda sana issues za trending,leo naona kala mahapishi yake.

Ila hizi amsha amsha za Mondi ni kwa ajili ya tamasha lake la Wasafi so hizi kelele zinazo endelea zina msaidia kuboost ile hype ya tamasha la Wasafi litakalo anza mwezi wa tisa.

Dogo ana akili ya hela,hiki kinacho endelea alikijua.Ila sema hili beef lao halina amsha amsha huku vijiweni kama zamani, watu hawali jadili kabisa hata thread hii inatembea polepole,ingekuwa zamani tungekuwa page ya 30.
 
Kwenye swala la trending hasa youtube kwa bongo WASAFI ni next level,but kwa sasa diamond ameshuka kidogo kwa hilo,kuna huu wimbo wake wa my baby ni flop sana ukilinganisha na ngoma zake za huko nyuma,haujatrend kabisa,ameniudhi kudakia hii ngoma ya enjoy kumbe sio yake jux ndio apewe shoutout ye abaki na hiyo MY BABY yake[emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo my baby inashika namba 1 Nigeria YouTube
 
Kwenye swala la trending hasa youtube kwa bongo WASAFI ni next level,but kwa sasa diamond ameshuka kidogo kwa hilo,kuna huu wimbo wake wa my baby ni flop sana ukilinganisha na ngoma zake za huko nyuma,haujatrend kabisa,ameniudhi kudakia hii ngoma ya enjoy kumbe sio yake jux ndio apewe shoutout ye abaki na hiyo MY BABY yake[emoji23][emoji23][emoji23]
Mdaka nyota ndomo.
 
Back
Top Bottom