Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,341
- 2,121
Kipindi cha nyuma Kiba alikuwa anaponda sana issues za trending,leo naona kala mahapishi yake.Wakuu,
Kuna vita ya trending kwa wasanii wetu wa bongo fleva.
Hivi siku za hivi karibuni Alikiba na Diamond platnumz wameonesha kabisa wako katika bifu zito za mziki katika Ku trend na kushindanda view YouTube.
Tuambie unaliongeleaje hill suala kwa mdau wa mziki kati ya TEAM KIBA NA TEAM DIAMOND
Hiyo my baby inashika namba 1 Nigeria YouTubeKwenye swala la trending hasa youtube kwa bongo WASAFI ni next level,but kwa sasa diamond ameshuka kidogo kwa hilo,kuna huu wimbo wake wa my baby ni flop sana ukilinganisha na ngoma zake za huko nyuma,haujatrend kabisa,ameniudhi kudakia hii ngoma ya enjoy kumbe sio yake jux ndio apewe shoutout ye abaki na hiyo MY BABY yake[emoji23][emoji23][emoji23]
Mdaka nyota ndomo.Kwenye swala la trending hasa youtube kwa bongo WASAFI ni next level,but kwa sasa diamond ameshuka kidogo kwa hilo,kuna huu wimbo wake wa my baby ni flop sana ukilinganisha na ngoma zake za huko nyuma,haujatrend kabisa,ameniudhi kudakia hii ngoma ya enjoy kumbe sio yake jux ndio apewe shoutout ye abaki na hiyo MY BABY yake[emoji23][emoji23][emoji23]