Mwache aendelee kukichekeaNi kama Rais Samia anavyoshindwa kukikabili kikundi kinachooendesha hujama
Sio kila mzee ni tunu, wazee wengine ni mavi matupuMuwe na Heshima wazee Ni hazina
Na tume azimia... hilo halina shida... tuna enda na mama tena... wewe tafuta wa kwenda nao ktk chama chako, ata ukitaka simamisha wanachama wote kwa nafasi moja ni sawa, sababu ni utaratibu wenu.Kwa CCM mwenyekiti ndio Kila kitu maadam wamempa kura za "kishindo" hakuna anayeweza mchallenge. So hizo ni kelele tu ila 2025 hamna atakayeweza chukua fomu so kwa huko kwenu mgombea ni Samia Hadi 2030 na hamna la kufanya
Kikinuka huwa wanaachana. Umesahau 2015 ikabidi mwenyekiti amuweke asiyempenda akamuacha beloved one.?Kwa CCM mwenyekiti ndio Kila kitu maadam wamempa kura za "kishindo" hakuna anayeweza mchallenge. So hizo ni kelele tu ila 2025 hamna atakayeweza chukua fomu so kwa huko kwenu mgombea ni Samia Hadi 2030 na hamna la kufanya
Unaongozwa na roho ya inda.Samia kapewa ya heshima hadharani na ina maelezo.Haya,ya huyo mjombaako aliipataje?Alikuwa na vyeti vya Rais na ushaidi??? Haya na wewe sema una vya Rais Samia na ile Dr sio ya ukweli.... Fanya kama hujuwi Yani....
UnajidanganyaHata kikinuka hakuna cha kumfanya dr samia,
Sasa nani atapewa fomu? Mkitaka kumu impeach kumbuka Rais ana mamlaka ya kuvunja bunge?? Mkitaka mpeleka mahakamani ana Kinga!! Mwisho wa siku wajumbe wanaomkosoa wataishia kukatwa kama Luhaga Mpina!!Usikariri
Ndio hapo akili za CCM sizielewi, Polepole akisema agombee 2025 anajua kitakachompata same to Mpina or Bashiru!!! Lakini hawajifunzi tu.Kuna wakurugwa watatamani katiba ile ya Warioba waliyoikataa.
Wazee wasiojiheshimu sio wazee wa kuaminikaMuwe na Heshima wazee Ni hazina
Taarifa naomba itoke nyoofu kama mchele wa MbeyaJamani jamani nimeinyaka nimeinyaka jamani Busara ni muhimu jamani humo ndani ya cc kimenukishwa na Mzee wa Msoga kama vile kanusa kama nabii akasema jamani jamani...
Kwanini waanzishe chama? Kwani CCM ni wamoja kiasi hicho?Ndio hapo akili za CCM sizielewi, Polepole akisema agombee 2025 anajua kitakachompata same to Mpina or Bashiru!!! Lakini hawajifunzi tu...
Jamani jamani nimeinyaka nimeinyaka jamani Busara ni muhimu jamani humo ndani ya cc kimenukishwa na Mzee wa Msoga kama vile kanusa kama nabii akasema jamani jamani...
Huyu jamaa msimwandame sana maana hata Sauli alikuja kutumika kama chombo cha Bwana, tuache kuhukumiana na kujiona wema. Yesu akasema, asiyekuwa na dhambi awe wa kwanza kumpiga jiwe yule Kahaba.Weweseko la Ben sanane
Jamani jamani nimeinyaka nimeinyaka jamani Busara ni muhimu jamani humo ndani ya cc kimenukishwa na Mzee wa Msoga kama vile kanusa kama nabii akasema jamani jamani.
Ni hivi wenye nguvu ndani ya chama wanataka haki itendeke come juwa come rain wanataka kujua ni jambo gani Hayati JPM na Mzee Mkapa walifanya wakastahili kubezwa na kurushiwa vijembe after all good things they done for this nation?
Watu wameenda mbali na kubadilisha picha na sasa watu wanaangaliana red eyes kuwa hawa wazee kulikuwa na plot to assassinate plz do not quote me.
Mmmmmmmmmmmm ile kauli ya Mzee wa makatibu wema hawafi ndio imeamsha hisia Kali ndani ya chama na let pray some thing bad is near to come.
Tetesi zisizo Rasmi jamani narudia kama nabii wa Taifa nilioko nyuma ya computer...... Wanasema wanasema eti ....…........ Liwe ............ Meza ipinduliwe.........,......... Sio zam yao............... Why....................... Yaaniiiiiiiiiii hali tete..,........ Ndio maana kumbe aina fulan ya watu ........... Hawaguswi ....,...........🤐🤐🤐🪑🪑🪑😭😭😭 Jamani naomba ulinzi🤭
Hata wakianzisha chama hakitasajiriwa.Ndio hapo akili za CCM sizielewi, Polepole akisema agombee 2025 anajua kitakachompata same to Mpina or Bashiru!!! Lakini hawajifunzi tu.
Na wakisema waanzishe chama wanajua kura zitaibwa, watapigwa virungu, na kupewa kesi za uhujumu uchumi!!! Na utashangaa wataanza kulialia eti tume sio huru ilihali walipokua na madaraka wange address Hilo mapema.
MkuuJamani jamani nimeinyaka nimeinyaka jamani Busara ni muhimu jamani humo ndani ya cc kimenukishwa na Mzee wa Msoga kama vile kanusa kama nabii akasema jamani jamani.
Ni hivi wenye nguvu ndani ya chama wanataka haki itendeke come juwa come rain wanataka kujua ni jambo gani Hayati JPM na Mzee Mkapa walifanya wakastahili kubezwa na kurushiwa vijembe after all good things they done for this nation?
Watu wameenda mbali na kubadilisha picha na sasa watu wanaangaliana red eyes kuwa hawa wazee kulikuwa na plot to assassinate plz do not quote me.
Mmmmmmmmmmmm ile kauli ya Mzee wa makatibu wema hawafi ndio imeamsha hisia Kali ndani ya chama na let pray some thing bad is near to come.
Tetesi zisizo Rasmi jamani narudia kama nabii wa Taifa nilioko nyuma ya computer...... Wanasema wanasema eti ....…........ Liwe ............ Meza ipinduliwe.........,......... Sio zam yao............... Why....................... Yaaniiiiiiiiiii hali tete..,........ Ndio maana kumbe aina fulan ya watu ........... Hawaguswi ....,...........🤐🤐🤐🪑🪑🪑😭😭😭 Jamani naomba ulinzi🤭
Msijidanganye kama ambavyo hakuna aliyechukua form 2020 basi 2025 mwendo ni huo huo. CCM haijawahi kuwa na demokrasia neno la Mwenyekiti ndio final. So jitieni moyo humu mitandaoni ila sio Bashiru, sio Mpina sio Kabudi mwenye uwezo wa kumzuia Mwenyekiti wenu.Mkuu
Huwa sibezi andiko lako!
Niliandika mahali kuwa maneno ya huyo Mzee yata trigger operation fulani ambayo iliahirishwa KWA MUDA!!
Naomba Mungu atusaidie yaishe SALAMA
Mungu IBARIKI NCHI YANGU TANZANIA!