Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,870
- 10,066
Hakuna kitu kama hicho... hizi lamli zako peleekea watu wa aina yako.
Chama makini kina ajenda zake ktk vikao na jinsi ya kujadili, hiyo mijadala ya kulopoka kama wapiga debe una weza ikuta sehemu fulani.
Kauli kuu, mama amesema ataunda safu yake.
Amesema waliopo au chaguliwa kama mpaka 2025 hakuna watakacho kifanya basi itabidi wakae pembeni
Pia chama kina enda kutoa ajira... tuna enda kuwa na nafasi za kuajiriwa, tuna itaji wataalamu sio kiende kwa mazoea kama zamani kisa una jua kuimba au kupiga soga
Siasa ni sayansi
Chama makini kina ajenda zake ktk vikao na jinsi ya kujadili, hiyo mijadala ya kulopoka kama wapiga debe una weza ikuta sehemu fulani.
Kauli kuu, mama amesema ataunda safu yake.
Amesema waliopo au chaguliwa kama mpaka 2025 hakuna watakacho kifanya basi itabidi wakae pembeni
Pia chama kina enda kutoa ajira... tuna enda kuwa na nafasi za kuajiriwa, tuna itaji wataalamu sio kiende kwa mazoea kama zamani kisa una jua kuimba au kupiga soga
Siasa ni sayansi