Moto unaniwakia

Moto unaniwakia

Punyeto inaweza kuleta madhara ya kiakili ikiwa unapiga kila siku.

Fanya mazoezi Ahsubuhi na jioni hasa mazoezi ya kuruka kichura chura. Utaanza kupunguza upigaji na hatimaye utaacha hiyo kitu.
 
Jikaze mtoto wa kiume, acha puli. Jitahidi kutoliweka kwenye kumbukumbu zako mda wote.

Ufikirishe ubongo wako juu ya mambo mengine. Na jitahidi pia kutokuwa peke yako mda wote.
 
Mwanaume ukifikia stage ya kutosimamisha hata confidensi kwa mkeo itapotea ndo mwanzo wa kuanza kudharaurika, na trust me utachapiwa huku unaona na hakuna kitu utafanya
Haijalishi ila nakutaadharisha mke wa mtu sumu kijana.bado hayajakukuta yakikufika utaelewa
 
Imani ya akina maboya hii, so sad
Mpiga PUNYETO ni sawa na mfungwa aliyepigwa pingu.

Si Rahisi kujiokoa mwenyewe!!

Kifungo hicho ni katika Roho, umeoa jini mahaba na limekutolea Mahari katika Ulimwengu wa Roho, pia limekuvisha Pete ya NDOA na hati ya NDOA imesainiwa.

Kuvunja ndoa hiyo, shirikisha mtumishi wa Mungu au waombaji Ili kuvunja NDOA hiyo.

Usichukulie mzaha.

UBARIKIWE.
 
Kwakweli mimi wale dadapoa wa Mkirikiti na Livingstone waliniokoa Sana na huo upuuzi enzi za ujana wangu.
Enzi zile bao Ni shiling stini (hii Bei Ni standard Dar nzima kwa wahaya enzi hizo). Unavizia kagiza kaanze unatia timu mkono mfukoni, unapiga bao lako na kwenda DRIVE INN kuangalia sinema ya bure.
Au unajichelewesha Kariakoo kagiza kaanze unazama kidongo chekundu kwa mama huruma wa kihaya chap na kuwahi Basi la home.
 
Za bei chee zote zilivojaa jombaa unapiga nyeto.? Acha udomo zege
 
Mwanaume ukifikia stage ya kutosimamisha hata confidensi kwa mkeo itapotea ndo mwanzo wa kuanza kudharaurika, na trust me utachapiwa huku unaona na hakuna kitu utafanya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
usikubali kuwa mtumwa wa kitu chochote kile duniani!!!!
 
Back
Top Bottom