Moto unaniwakia

Moto unaniwakia

Mpiga PUNYETO ni sawa na mfungwa aliyepigwa pingu.

Si Rahisi kujiokoa mwenyewe!!

Kifungo hicho ni katika Roho, umeoa jini mahaba na limekutolea Mahari katika Ulimwengu wa Roho, pia limekuvisha Pete ya NDOA na hati ya NDOA imesainiwa. Unachokifanya, unajaribu kuachika
 
Kwamba usiuone mkono wako wa kuume tu unautamani, Anyway kwahiyo unapenda unavyojila?
 
Baada ya kuweka malengo ya kutopiga puli, wazee Leo siku ya pili aisee nipo kwenye maumivu Makali sana yani akili yote inataka iyo kitu Aisee.

Lengo la huu mwaka naona nakwenda kulivunja.
Uislam raha sana, haujaacha kitu.

kwanza unafundisha vijana waoane mapema na ikiwezekana nwanamme awea wake zaidi ya mmoja.

kwa hali ya kishetani kama inayokutokea Uislam unafundisha kufunga.

Kwanza bgumu sana kumtokea Muislam anaefata mafundisho ya Uislam, kwani atakuwa automatic anaswali kutwa mara tano.

Ushetani hapo utoke wapi?
 
Back
Top Bottom