orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 2,947
- 4,876
Achana nae Kuna watu wamezaliwa hivyo ukabila upo kwenye damuAcha ukabila mpumbavu ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana nae Kuna watu wamezaliwa hivyo ukabila upo kwenye damuAcha ukabila mpumbavu ww
Siyo kweli suala la kuwaka moto Hifadhi ya mlima kilimanjaro ni la miaka mingi sana iliyopita Nakumbuka tangu nikiwa Mdogo hivi visa navisikiaMwaka Jana pia hiyo Hali ilijitokeza ila ukuifuqatilia kwa ukaribu utabaini ni uzembe na mazingira yakupiga Hela saivi watu wanajitaftia tuu mazingira wafaidike ni tofauti sana na miaka ya nyuma kidogo
Una uhakika gani mkuu maana hapo kama upo kcmc nitajie eneo linalowaka moto upande huo wa kinapa wanaulinzi wakutosha sio rahisi mtu kuingia kichwakichwa unless wanashirikiana naoSiyo kweli suala la kuwaka moto Hifadhi ya mlima kilimanjaro ni la miaka mingi sana iliyopita Nakumbuka tangu nikiwa Mdogo hivi visa navisikia
Na kwa kiasi kikubwa unasababishwa na watu wanao rina asali kwa Kuwasha Moto
Hii hapa. Hapa nipo maeneo ya kcmc. Picha ni kama hiiView attachment 2394108
Sawa nikuhakikishie huo moto ni njama na njaa tuu Wala sio kurina asaliHakuna mahali nimesema niko KCMC
Huo moto ukizimwa ununue simu mkuuHii hapa. Hapa nipo maeneo ya kcmc. Picha ni kama hiiView attachment 2394108
Wanapasha chakulaMajanga ya moto huwa yanatokea karibia kila mwaka katika hifadhi ya mlima Kilimanjaro, sababu sijui inakuwaga nini hasa!
Wakaandika kabisa adhari duhMuda tu imepita nilikuwa natizama kipindi Cha kipima joto itv mada ilkuwa kupambna na adhari za ukame nn kifanyike
Kule juu kuna vituo vya kupumzika na kufanya shuguri nyingine kama usemavyo kwa watalii, kumbuka pia kuna tour guides na games ambao hutoa maelekezo kwa watalii na kuonesha sehemu maalumu kwa shuguri hizo. Inakuwaje moto kila mwaka?Wanapasha chakula
Uoto wa Hifadhi ya Kilimanjaro siyo sawa na Serengeti...
Huko KLM ni Misitu na Miti mirefu ndyo inateketea...
Na kwa Theluji iliyo kileleni hauwezi kuwasha moto kwa ajili ya uoto mpya....
Grow Up.
Acha unaa wewe kiazi!Usikute Kuna mchaga keshapiga hela tayar