Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sio Russia ila ni Mapigo ya Mungu kwa utawala wa Farao(NATO/USA). Sababu wanarudia makosa ya Sodoma kupenda Ushoga.Kuna limtu litakuja hapa litasema ni Russia
... Mkuu unapiga za chembe!Kuna limtu litakuja hapa litasema ni Russia
Uchumi wa California haujauzidi ule wa China. Labda Russia, UK, France, Italy hao ndiyo wanazidiwa na California kiuchumiHili jimbo si ndo walisema linauchumi mkubwa kuliko china, urusi, noth korea na nchi zote za mashariki. Wanawashindwaje kuzima kamoto tu matajiri kama hao.
Cha kushangaza anayetoa izo tactics ni USA Calfonia hawezi kufikia uchumi Russia in reality acheni kukalilishwaUchumi wa California haujauzidi ule wa China. Labda Russia, UK, France, Italy hao ndiyo wanazidiwa na California kiuchumi
USA ni sawa na mwanafunzi anayefanya mtihani kisha akasahihisha yeye na kupanga matokeo yeye chumbani kwake kisha akayabandika shuleni. Alisema niwakwanza kwa uzalishaji wa mafuta ila kashindwa kuwasaidia ndugu zake hata pipa moja tu pale ulayaCha kushangaza anayetoa izo tactics ni USA Calfonia hawezi kufikia uchumi Russia in reality acheni kukalilishwa
Unafikiri unazimwa kwa kupuizwa,sio kibatariHili jimbo si ndo walisema linauchumi mkubwa kuliko china, urusi, noth korea na nchi zote za mashariki. Wanawashindwaje kuzima kamoto tu matajiri kama hao.
Nyie ndio wale wa kila jambo utasikia mafreemason haoHuyu ndo Mungu ninaejua mimi Sasa mwaka huu mashoga Maji wataita mma kila kona ni kichapo
Wewe mimi naamini ni Mungu wewe amini tabia za nchi full stopNyie ndio wale wa kila jambo utasikia mafreemason hao
Utasema yanatokea sasa hivi kwa sababu ulizotaja, ukweli utabaki ni sababu ya mabadiliko ya tabia nchi na ukuaji wa shughuli za kibinadamu
Over
Ukiwa tajiri huumwi kwa sababu una pesa?Hili jimbo si ndo walisema linauchumi mkubwa kuliko china, urusi, noth korea na nchi zote za mashariki. Wanawashindwaje kuzima kamoto tu matajiri kama hao.
Kuumwa utaumwa ila usipojitibu ndo tutahoji utajiri wako