Dindilimunyo
Senior Member
- Sep 12, 2016
- 108
- 206
Taarifa za kunyapia nyapia zinasema mambo ndani ya Shirika la NHC sio shwari. Pamoja na JPM kuonekana ana mahaba na Mchechu na anafurahishwa na kazi yake mambo inasemekana sio shwari kwa baadhi ya vigogo ambao inasemekana wamemkabidhi Mkurugenzi barua za kuacha kazi.
Taarifa zinasema hali hiyo ya vigogo kuacha kazi inatokana na Mchechu kuwa mkali kupita kiasi kwa sasa. Inasemekana amewapiga chini kwenye vitengo nyeti baadhi ya wakurugenzi kwenye shirika hilo na kupangua pangua majukumu hali ambayo wengi wao hawaridhiki nayo.
Hali kadharika kuna vigogo wa shirika hilo wamekuwa wakihojiwa na vyombo vya dola kuhusika na tuhuma mbali mbali za ufisadi kwenye shirika hilo jambo hilo nalo linachochea kuacha kazi kwa vigogo hao mmoja wao inasemekana kashahamia NMB. Kubwa linalowakimbiza vigogo hao ni tuhuma mbali mbali zinazowakabili hasa ufisadi wa miradi mbali mbali ya shirika hilo.
Moja ya mradi unao onekana kuwa kaa la moto ni ujenzi wa Jengo lao la makao makuu ambalo insemekana ujenzi umegharim B19 na ukarabati wake yani Fnshng umelamba B15. Inasemekana vigogo hao wamekuwa wakihojiwa mara kwa mara na Takukuru juu ya sakata hilo na sasa watapandishwa kizimbani wakati wowote.
Soon nitawatajia vigogo hao stay tune
Taarifa zinasema hali hiyo ya vigogo kuacha kazi inatokana na Mchechu kuwa mkali kupita kiasi kwa sasa. Inasemekana amewapiga chini kwenye vitengo nyeti baadhi ya wakurugenzi kwenye shirika hilo na kupangua pangua majukumu hali ambayo wengi wao hawaridhiki nayo.
Hali kadharika kuna vigogo wa shirika hilo wamekuwa wakihojiwa na vyombo vya dola kuhusika na tuhuma mbali mbali za ufisadi kwenye shirika hilo jambo hilo nalo linachochea kuacha kazi kwa vigogo hao mmoja wao inasemekana kashahamia NMB. Kubwa linalowakimbiza vigogo hao ni tuhuma mbali mbali zinazowakabili hasa ufisadi wa miradi mbali mbali ya shirika hilo.
Moja ya mradi unao onekana kuwa kaa la moto ni ujenzi wa Jengo lao la makao makuu ambalo insemekana ujenzi umegharim B19 na ukarabati wake yani Fnshng umelamba B15. Inasemekana vigogo hao wamekuwa wakihojiwa mara kwa mara na Takukuru juu ya sakata hilo na sasa watapandishwa kizimbani wakati wowote.
Soon nitawatajia vigogo hao stay tune