countryboy me
Member
- Oct 30, 2018
- 95
- 81
Yeah,inanusa mafuta hiyo.Fuel consumption is 1.2km/hr are you sure?
We ni dalali ? Maana ulaji wa mafuta wa vyombo vya usafiri hupimwa kwa mfano huu lita 1 inaenda kilometer 8,etc nashangaa unavyosema ulaji wa mafuta ni 1.2km/hr. Naona mapichapicha hapaYeah,inanusa mafuta hiyo.
700 hailipi mkuu.Hiyo no bei ya dukani.
Kwa sababu ushaienyesha chukua 700
Sawa kiongozi ,sipo seriousbraza hauko seriosu kabisa.
hiyo piki piki ikiwa mpya kabisa milion na laki 3
asa wewe unauza milioni ni laki tano used ........
hiyo size yake kwa sasa ni lki saba na s zaidi ya hapo
We ni dalali ? Maana ulaji wa mafuta wa vyombo vya usafiri hupimwa kwa mfano huu lita 1 inaenda kilometer 8,etc nashangaa unavyosema ulaji wa mafuta ni 1.2km/hr. Naona mapichapicha hapa
Typing error tu wakuuMi mwenyewe nmejiuliza nikakosa majibu, 1.2km/hr? How?
Hujaeleweka mkuu, andika kiswahiliYeah,inanusa mafuta hiyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ikifika lak6 njoo nkupe pesa. Njoo nayo hapa Rock city mall nikatafutie kabsa box ili iwe zawadi ya wife kesho b.day yake.
600 HailipiIkifika lak6 njoo nkupe pesa. Njoo nayo hapa Rock city mall nikatafutie kabsa box ili iwe zawadi ya wife kesho b.day yake.
Leta 1.2 nikupe chomboMkuu chukua 750 kama uko tayari biashara ifanyike this wkend