Motra the future na Diss Track dhidi ya Kikosi Kazi awaita kikosi kazi WEUPE

Motra the future na Diss Track dhidi ya Kikosi Kazi awaita kikosi kazi WEUPE

Scars

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
48,055
Reaction score
116,512
Wadau na wapenzi wa hip hop kuna habari mpya inayo trend kwa sasa baada ya lile kundi la mziki wa hip hop (Kikosi Kazi) kutangaza battle na kundi au mtu yeyote hatimaye juzi ya tarehe 3 msanii wa Hip Hop motra the future kaja kujibu diss ya kikosi kazi kwa niaba ya weusi.

Nanukuu mistari ambayo imewagusa direct member wa kikosi kazi

Zaiid

Hii Dunia Ukitumia Wakati wako Vizuri Lazma Mambo Itajipa, Naongea Na Sad Generation Yenye Happy Pictures.../
Ukijiona Zaidi Fanya Ya Zaidi Kwa Uhakika, ili usidate hata Kama Wowowo Haijakulipa.../

Songa & Stereo
sawa Unaweza ukasonga bila fm walla stereo, ila Uwe na Juhudi , Mungu na kutumia akili.../
yooh ni kuchapa kazi kwa maadili, u pay mabill bro.../

Mansuli A.ka Sinza star

siwezi kuwa sinza star tu na kuna The bigg world Msione nimetulia mkafikiri mi ni kiande.../
mnataka kuharibu shughuli , kisa mmeona mambo pambe.../
hii ni keki ya taifa kila mtu ana kipande kwenye shamba la Upendo mwana Chuki usizipande.../

One the Incredible a.k.a Uno
wakati nyie mna hate wenzio wanavuka ma border, mnageuka misukule na hakuna aliyewaloga.../
Na kama unaleta ubishi na wakati hauna hoja, utabaki unajiita uno na hauwezi kuwa namba moja.../

Azma
Joh hawezi shuka eti kwa kupondwa na azma, mtu ambaye anaforce miaka kumi kutoka kwa lazma.../
Crew yenu mnafanana style kama mchele wa basmat, Ushafeli weka nguvu sasa kuikuza aznas.../

P-Mawenge
Ma Sean P wa Bongo na hamuafford kwa P funky, kwa Vile mmeleta mawenge tena kwa hii chance.../
Na sisi hatuwezi kuwapa uboy kwa hii country.../

Ila jamaa kapiga diss ya kibabe kidogo japo sijaona punchlines zinazomlenga nikki mbishi na kama zipo basi ni zile soft. Ngoja tuone hii battle itaendaje endaje maana kikosi kazi kwa kumlipua mtu wako vyema, weusi walisana
 
Baadhi ya maoni ya wadau wa hip hop mitandaoni
1638869914696.png
 
Mex nae tunatakiwa kumzingatia sana sio mtu mzuri kwenye Rap naona sasa tunakwenda kupata ladha ya rap za kiushindani kama zamani. Maana watoto walianza kujichetua na trap zao za uongo na kweli
jamaa yuko vizuri sana, nilianza kumfatilia kwenye zile challenges za yes bana jamaa ni mnyama alitisha
 
Kanyoosha mikono au alikuwa anawapa counselling wasijihisi inferior now wamepona wameamua wamtume motra awajibie, hii ya saizi itakuwa kama ile ya kimbari
mawenge ka-surrender kaweka mikono juu, amekiri Yesu ni Bwana,
tafuta interviews zake umsikie anasemaje kuhusu hiyo nyimbo yake.

Sasa weupe watatoa nyimbo ya kumjibu nani hilihali Weusi wamekaa kimya ??

kwanza wana bajeti ?? 🤣 🤣 🤣
 
mawenge ka-surrender kaweka mikono juu, amekiri Yesu ni Bwana,
tafuta interviews zake umsikie anasemaje kuhusu hiyo nyimbo yake.

Sasa weupe watatoa nyimbo ya kumjibu nani hilihali Weusi wamekaa kimya ??

kwanza wana bajeti ?? 🤣 🤣 🤣
Sikiliza hii interview kuanzia dakika ya 13:22 mpaka 13:40

 
Rapper ame-surrender tafuta interview ya XXL akitambulisha hiyo track.
Hiyo interview ya XXL nimeisikiliza yote mpaka nikki anapigiwa simu studio na namna alivyo respond positively hakuna muunganiko wowote ambao unaonesha jamaa kasarenda

Kilichofanyika kwenye nahamia weusi ni ku catch attentions za mashabiki tu, ukitaka kuona sikilizia kwenye hii diss ya motra ni lamiza wajibu na kutakua na lines ambazo zitahusisha ile ngoma yake ya nahamia weusi
 
nakuhakikishia ni ngumu kundi kutoa ngoma kumjibu mtu mmoja aliyewadiss.
Ugumu uko wapi?

Au unazungumzia katika perspective ya mashabiki kwamba itaonekana kua jamaa kakamiwa kwasababu ya wingi na sio uwezo?
 
Na respond ya cortex hii hapa ikiwa bado mbichi yani ina masaa 22 tangu iwekwe

Hii diss track ya jamaa iko sooo lame mzee haijafikia hata 50% ya shit alizotema Motra. Wajipange vizuri.

Halafu naomba kuuliza. P mawenge ile track alisema anahamia weusi ilikuwa ni mockery au alikuwa anamaanisha anajitoa kikosi kazi? Na je mpaka sasa yupo kikosi kazi au yupo mwenyewe?
 
Hii diss track ya jamaa iko sooo lame mzee haijafikia hata 50% ya shit alizotema Motra. Wajipange vizuri.

Halafu naomba kuuliza. P mawenge ile track alisema anahamia weusi ilikuwa ni mockery au alikuwa anamaanisha anajitoa kikosi kazi? Na je mpaka sasa yupo kikosi kazi au yupo mwenyewe?
Kitu pekee unachotakiwa kukiangalia kwenye hiyo diss ya cortex ni namna jamaa ambavyo ame respond kwa muda mfupi muda mchache tangu motra aachie, so hiyo tunaweza consider kama freestyle uwezo binafsi

Probably motra ilimchukua miezi kadhaa kuandika hiyo diss (lolote linawezekana maana ngoma ambayo ameijibu inaenda mwaka wa pili sasa)

Kuhusu ngoma ya P mawenge naweza nikakujibu yes it is some sort of mockery
 
Back
Top Bottom