Mount Kilimanjaro or Mombasa port?

Mount Kilimanjaro or Mombasa port?

Citizen B

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2019
Posts
6,681
Reaction score
9,084
The story goes kipindi hizi nchi hazijapata uhuru, wakoloni walikaa wakagawana mipaka, ubishi ulikuwa kwenye Kilimanjaro na bandari ya Mombasa, wakaamua wagawane kimoja kimoja.

Bandari at the time up to date inaingiza pesa nyingi kuliko mlima. So in Germany's reasoning "ni bora nichukue mlima bandari nitaijenga kuliko kuchukua bandari halafu mlima siwezi jenga".

Do you think they was right?

Imagine Tanzania tungekuwa na Bandari ya Mombasa + Bandari ya Dar es salaam tungeizidi Kenya maendeleo?

Who won the deal and why?

Comment ziwe fupi fupi
 
I think it was a British Queen who gave the mountain to his cousin the King of Germany as a birthday gift .....and in turn the Queen was awarded Mombasa Port which was rightfully ours.....
 
Kama Ml. Kilimanjaro ungekuwa Kenya nakuhakikishia kwamba mlima huo ungekuwa unaingizia Kenya hela nyingi zaidi hata ya bandari na Mombasa kwa ujumla.

Tanzania Tourism revenues are twice as Kenyas, what are you doing with all the resources you have? You have a national park hapo Nairobi west mmefanyia nini?
Before we think of what we don’t have lets at least think of what we have, what have you done with what you have?
 
Tanzania Tourism revenues are twice as Kenyas, what are you doing with all the resources you have? You have a national park hapo Nairobi west mmefanyia nini?
Before we think of what we don’t have lets at least think of what we have, what have you done with what you have?
Cooked
 
Besides, It was a genuine decision choosing mount Kilimanjaro for other reasons including security, Imagine Launching missiles all the way from the top of Mt Kilimanjaro to Nairobi, how easy it is[emoji4]
Umefikiria kama kuku saba
 
Acheni usenge yaani mt Kilimanjaro mnafananisha na vitu vya kijingajinga...huku sweden wazungu wana-wish kupanda mlima Kilimanjaro kama sie vijana tulivyokuwa tuna-wish kuja ulaya
 
Back
Top Bottom