wewe muongoooo tena muongo mkubwa
ronaldo huyu kaisha hata dribbling hana kama alivyokua akimkimbiza akina ashley cole tuishie hapa tusihamishe mjadala
anafikiri kwanini madrid walimtaka cr7 kama sio kazi aliyoionyesha akiwa man u
la liga kaikimbia murinyo aliyekuwa anapiga mkwanja, me nifate nini. huku huku inglandi ndio kuzuri
mechi ipi ndogo unaangaliaga ya la liga ?
epl naangalia kila mechi na utamu upo hiyo ligi yenu mchezaji akiwa mzuri anachagua aende madrid au barcelona
diego costa ndio huyu aliyekua atletico
aguero kaja kwa mbwembwe akaishia kukaa misimu mitatu kama sio minne bila ufungaji bora
Soldado huyu alikua ashikiki huko la liga huku kama mr penati
Negredo alikua anafunga kama mwendawazimu alipokua huko huku kaja kisha kakimbia
Diego forlan ndio alikua msuguaji benchi pale man u kaenda atletico akawa moto
Roy keane alimwambia pique beki hawezi akawa amelegea hivi ila karudi baca ndio beki bora
Hivi bado uahitaji kujua ligi ngumu ?
Huyo maurinho.atakuwa ana matatizo.. Kwan barca na madrid si huwa zinashiriki uefa.. Hapo ndo inaonekana team mbovu ni zipi kat ya za spain na huko uingereza kulikojaa promo
Tunafurahia data kama hizo mkuu, sio porojo za waingereza na vibaraka wao, ooh! hull city, sijui, tottenham mkali, mkali! kwa nani? labda burnley n.k. mkuu meipenda hiyo, haya makelele ya epl nlikuwa nayafumbia macho muda mrefu sasa mechoshwa meyatolea uvivu.Sevilla imeanza kubeba uefa ndogo yaani europa cup msimu wa 2006 na 2007 mfululizo ikiwa na kina Dani Alves,Saviola,Jesus Navas,Kanoute,Fabiano,kipa Palop nk na ikibeba msimu final vs kocha wao wa zamani Juande Ramos akiwa na Dnipro ya Ukraine maana walibeba misimu miwili mfululizo akiwa kama kocha wa Sevilla 2006 na 2007,wamebeba 2014 wakibeba sasa ni mara 2 mfululizo kwa mara ya pili na itakuwa inaongoza kwa kubeba mara nyingi europa ligi,sasa wana 3 na Juve,hiyo inaonyesha Spain ina timu kali na zina vipaji tofauti na England ligi ya ma chatterbox na kutangazwa sana kuliko uwezo walio nao.
Ligi ya EPL huwa naifananisha na ligi kuu ya Vodacom Tanzania, timu zote mbovu kule
Ligi ya EPL huwa naifananisha na ligi kuu ya Vodacom Tanzania, timu zote mbovu kule
mechi ipi ndogo unaangaliaga ya la liga ?
epl naangalia kila mechi na utamu upo hiyo ligi yenu mchezaji akiwa mzuri anachagua aende madrid au barcelona
diego costa ndio huyu aliyekua atletico
aguero kaja kwa mbwembwe akaishia kukaa misimu mitatu kama sio minne bila ufungaji bora
Soldado huyu alikua ashikiki huko la liga huku kama mr penati
Negredo alikua anafunga kama mwendawazimu alipokua huko huku kaja kisha kakimbia
Diego forlan ndio alikua msuguaji benchi pale man u kaenda atletico akawa moto
Roy keane alimwambia pique beki hawezi akawa amelegea hivi ila karudi baca ndio beki bora
Hivi bado uahitaji kujua ligi ngumu ?
umeongea point sana hapa
umeleta sababu sizizo na vigenzo je unajua la liga bingwa kajulikana baada ya mechi 1 ya mwisho wakati epl bingwa amejulikana kabla ya mechi zaid ya 4 la pili kuhusu magoli ya kikapu juzi tu stock kampiga mtu 8 bila kusahau man cityHivi unajua kila weekend epl kuna big match ??
kitu ambacho Ozil alikiri kwamba uingereza kila mechi ni kama fainali
kwa wenzetu huko kila weekend tunasubiri magoli ya kikapu kama sio barcelona ni Madrid
huku juzi Southampton kampiga villa kifusi halafu huyu villa alimfunga man u ambae aliifunga southampton
timu kama swansea inazifunga home and away club za arsenal na man u huoni kitu cha ajabu ?
ni bora kukutana na swansea kuliko na stoke city sio mpira ila ni vita
hiyo ligi yenu ubingwa unaamuliwa kwa mechi mbili ??
niache kidogo
ligi ya epl ni ligi ya promo sana ila ki ubora na timu zenye ubora spain uspime kigezo ni mafanikio hususan katiak mashindano makubwa kwa mfano europa league and champions league tumeshuhudia europa league team kutoka spain ndio final na kombe kubaki spain huo ni msimu wa 2014 na huu wa 2015 ndio hivyo 2 team from spain namaanisha barca and sevila all final cup europa league and ucl la liga moto wa kuotea mbali epl matangaazo mourihno anajulikana akiwa spain ataanza kusifia la liga na madrid leo yuko chelsea wacha ajifariji hongera kwa kuchukua ubingwa
Kocha aiseishuwa maneno akiwa kwenye interview na waandishi wa habari kwa mara nyingine tena ametoa mawazo yake kuhusu ligi
mbili maarufu EPL na La Liga.
Jose akiwa kwenye interview na talksport alisema kwamba kuna utofauti mkubwa kati ya La Liga na EPL kwasababu yeye ana uzoefu na ligi zote mbili.
Amesema kwamba mambo yangekua tofauti kwa Barcelona na Real Madrid kama wangekua kwenye ligi ya uingereza.
Nilikua Spain lakini sikui-ejoy kwasababu nilishinda ubingwa kwa rekodi ya points 100 na magoli 121. Mambo ni tofauti hapa England
inabidi uwe tayari kwa kila mechi.
Utayari wako sio wa kimchezo tu, bali hata kiakili. Sidhani kama wangezea kutawala EPL kama La Liga
Mourinho ni Poyoyo kama Mapoyoyo wengine. England hizo wakikutana na team za Spain iwe ni Bilbao, Atletico,Sevilla, Valencia wanagalagazwa. Hapo sijataja Real Madrid au Barcelona. Na kuthibitisha jamaa wanajua chukua takwimu za team zilizochukua UEFA mara nyingi ni Spanish,teama tatu bora kwa utajiri mbili zote ni za Spain,Europa League mwaka huu Spain ina team moja,UEFA spain ina team moja mwaka huu na mwaka jana ilikuwa na team moja na ikachukua kombe. Huyu jamaa ni poyoyo sana!
Mourinho ni Poyoyo kama Mapoyoyo wengine. England hizo wakikutana na team za Spain iwe ni Bilbao, Atletico,Sevilla, Valencia wanagalagazwa. Hapo sijataja Real Madrid au Barcelona. Na kuthibitisha jamaa wanajua chukua takwimu za team zilizochukua UEFA mara nyingi ni Spanish,teama tatu bora kwa utajiri mbili zote ni za Spain,Europa League mwaka huu Spain ina team moja,UEFA spain ina team moja mwaka huu na mwaka jana ilikuwa na team moja na ikachukua kombe. Huyu jamaa ni poyoyo sana!