Mourinho atarudi Real Madrid?

Mourinho atarudi Real Madrid?

Shida ya club na mashabiki ni vikombe, aina ya uchezaji ni ziada tu
 
Jana nilimsikia Mourinho akisema kipindi yupo Real Madrid ndo kipindi very very special kwake

nilishangaa sana...nikawa najiuliza mbona huyu jamaa muongo muongo?

Mbona siku zote husema alipofundisha Inter Milan ndo
ilikuwa very special?

Inter ndo alishinda nao mara ya mwisho Champions League
bajeti ya inter ilikuwa ndogo sana kulinganisha na Chelsea au Ma
drid

Inter ndo timu ya mwisho kushinda Champions league kutoka Italy...

Leo nimeelewa why Morinho now anajipendekeza Madrid
kashaona kuna dalili za Zidane kutimuliwa
anachofanya ni kubembeleza tu ajira
hakuna wachezaji wazuri hata yeye yatamkuta
 
Zidane aliondoka kwa heshima,sasa ataondoka kwa aibu kubwa sana na itakuwa anajuta turudi.....sasa naona zidane hana mbinu ila alikuwa anabebwa na wachezaji wakiwa ktk kiwango bora.
 
Back
Top Bottom