seansenior
Member
- Jan 30, 2018
- 10
- 17
Baada ya mechi ya Jana kupoteza dhidi ya Brighton Mo akawachana wachezaji wake live,alisema baadhi ya wachezaji hawaumii na matokeo kama yale pia aliwaambia waandishi kuwa kwa sasa watakuwa wamepata jibu kwanini kila siku LUKAKU anamuanzisha
Amesema wachezaji wengine hawajitumi na ndio maana anawalisha mbao hayo ameyasema baada ya akina rashford na martial kuboronga Jana
Kwangu naona Mo kuongea maneno kama haya tena hadharani yana faida sana kwa wachezaji husika hii inawasaidia kukua na kujitambua pia kujifunza nini wanatakiwa kufanya kwenye wakati sahihi
Wenger amefail kuwafanya makinda wake kama hivi kwenye miaka ya karibuni na ndio wanamuangusha na kumtoa machozi
Labda kwenye kitu atakuja kujuta Wenger ni kuwaamini hawa akina Iwobi,Big Up kwa Mo kwani kauli kama zile ni nyenzo muhimu kwa mchezaji aliyebweteka
Amesema wachezaji wengine hawajitumi na ndio maana anawalisha mbao hayo ameyasema baada ya akina rashford na martial kuboronga Jana
Kwangu naona Mo kuongea maneno kama haya tena hadharani yana faida sana kwa wachezaji husika hii inawasaidia kukua na kujitambua pia kujifunza nini wanatakiwa kufanya kwenye wakati sahihi
Wenger amefail kuwafanya makinda wake kama hivi kwenye miaka ya karibuni na ndio wanamuangusha na kumtoa machozi
Labda kwenye kitu atakuja kujuta Wenger ni kuwaamini hawa akina Iwobi,Big Up kwa Mo kwani kauli kama zile ni nyenzo muhimu kwa mchezaji aliyebweteka