Mimi kwenye mpira sishabikii timu ila ninamshabikia Mtu mmoja anaitwa Jose Mourinho...popote alipo ndo timu yangu hyo..akifukuzwa nahama nae...Jamaa namkubali sana, akiwepo kwenye bench la ufundi ndo furaha yangu..ni mpambanaji asiyekubali kushindwa anakaza mpak mwisho...penye ushindani ndo anapapenda...ana uwezo mkubwa wa kutambua mahali penye tatizo wakat game inaendelea...yeye ni master of tactics..bingwa wa mikakati ya ushindi japo ladha ya mpira hana....kwa makocha ambao hawajastaaf yupo nyuma ya carlo Anceloti tu...