It is okay,
Karibu sana England. I like himu very much for his great challenges! But Tajiri atamkubaliii?? Hiyo ndo tabu. the special One naye kazidi kuhama duh!
Abromovich kama anataka kurudisha heshima ya team na kuwa-win back fans wa Chelsea inabidi tu amrudishe Jose, au Di Mateo au Gus Hiddink.
Itabidi awe na moyo Mgumu lakini ndo kazi, maana hata kumleta Ben ni vile vile si alikuwa hapo na Chelse ilikuwa Juu zaidi ya Ben!
But Jose atarudisha ladha sana I hope kuliko wengine.
Mimi si mwanachelsea lakini ushuka Daraja Chelsea "Thubutuuuu! na tema mate chini!Wacha Chelsea nayo ishuke daraja msimu huu
Abromovich kama anataka kurudisha heshima ya team na kuwa-win back fans wa Chelsea inabidi tu amrudishe Jose, au Di Mateo au Gus Hiddink.
Mimi si mwanachelsea lakini ushuka Daraja Chelsea "Thubutuuuu! na tema mate chini!
si leo wala kesho- mkubwa ni mkubwa tu( Sikio haliwezi zidi kichwa, ikitokea basi shida kubwa hiyo
kushuka daraja ni ngumu ni kutoka pale Big 4 anaweza kutoka sababu Chelsea imevurugika. Kumbuka Liverpool
Sifa na Pongezi ziende kwa Official FC Barcelona Web Site - Barça | FCBarcelona.com maana hawa majamaa huwezi ukachukua kombe kirahisi kama wao wapo wanashiriki. Alivoitoa Barca akiwa na INTER basi aliona anawaweza, Mourinho akiondoka Spain ole wao Madrid maana watakuwa wanapgwa nyingi na hakuna Kombe watakalobeba pale.
Habari imepikwa ile. Na wewe uimeipika zaidi kuwa ku-spin hata heading ya habari.
Hakuna sehemu ambapo pamesemwa kuwa atarudi Chelsea.
Halafu habari yenyewe paragraphs ngapi?
Gazeti lenyewe the Sun linatafuta wanunuzi kwa habari za kutunga.
Mkuu, problem ya Madrid ni vijimungu mtu, zamani alikuwepo Raul na Guti, saa hizi hawa wapuuizi wawili Cassilas na Ramos wanapimana ubavu na kocha.
Baada ya kumtimua Vicente Del Bosque, team haijawahi kua na mafanikio, Capello naye ilikua hivihivi, sasa kama wanataka kuwa wasindikizaji, let them let go of Jose.