chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Kocha wa Manchester United Jose Mourinho alipokuwa akiongea na waandishi amesema kuwa hafikirii na ni vigumu sana Bastian kupata nafasi ya kucheza msimu huu, sijasema haiwezekani , nimesema ni vigumu sana.
Kama tatizo lolote litatokea au nafasi, nina vijana katika Academy, nitafurahi kuwapa nafasi ya wao kuendelea.
Kama tatizo lolote litatokea au nafasi, nina vijana katika Academy, nitafurahi kuwapa nafasi ya wao kuendelea.