Mourinho: Ronaldo hakuwa na msaada fainali ya Euro


Na mie uwa nashangaa watu wana leta kelele za mourinho wana zifanya kama facts wakati wana jua kabsaa mou aliwahi hata kusema hazard ni bora kuliko CR7

Ni sawa utegemee malinzi asifiwe na manji (haiji tokea)
achana nao mahater!
 
Mou na Cr7.chemistry haziendani hata kidogo ukigundua hilo unaweza kupredict atakachosema kuhusu Cr7.

Kumbuka kuwa mou ni mportugal mwenzake, so watu walitarajia atamsifia kwakuwa ni taifa moja, lkn haikuwa hivyo,matokeo yake mou akaamua kuweka uongo pembeni na kuzungumza ukweli hslisi kwamba Ronaldo si chochote, hakuwa na msaada wowote fainali ya euro.

Cha-kushangaza kuna vichwa ngumu humu jf wanalazimisha kitu kic chowezekana utafikiri ni wataalamu wa soka kumzidi mou!

Okay huyohuyo MOU Kwanini awakubali "Messi na Maradona"ndiyo best players of all time? Jiulizeni nyie mnaomshobokea huyo misifa kwanini wafalme hawa wawili mou anawakubali ilihali yeye ni mpotugo na akina Messi ni waajentina?
 

Alikuwa anampa sifa tu kwa kumuonea aibu,lkn after that akaamua kusema ukweli,in-short MOU kimoyoni anamtambua Messi ndie baba soka ulimwenguni kuwahi kutokea since mpira uanze kuchezwa. Na hata mafanz wake Akina SZCZESNY na wengineo wengi tu wanalitambua hilo isipokuwa wanamchukia tu kwa sababu anajua mpira na hakuna kingine.
 
Sasa mtu aliumia mlitaka afanyaje!!?

Au mlitaka akose penalt kama Messi ndio mseme alikuwa na msaada

Mfalme na huyo mmorocco wapi na wapi? Ni kama vile gari aina ya Mecerdes benz na kIA ipi bora😀 utajibu nini?
 
Hahaha
Mimi nawasikiliza wachezaji wenyewe ambao wana sema Ronaldo aliwasaidia

Wewe na mou wote ni mahaters wa Cr7,kwa hiyo maneno yenu si facts ni mipasho tuu
 
Si kwa aibu Mou na Ronaldo waligombana na hauta kuja skia Mou akimsifia Ronaldo labda kumlaumu tuu
Ni sawa na kumskia Ramos akimsifia Mou, hiyo haoji tokea mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…