Movement: Tunataka Katiba Mpya Tanzania

National "ethos" Ndilo jambo la msiingi kwanza kabla ya maoni. What makes us proud Tanzanian? What makes us different from kenyas etc. Mambo gani ya msingi tunataka yaongoze taifa hili? ambayo kila Kiongozi atafuata?. The frame of reference "paradigm" is wrong and it gives wrong results.....
 
Unaweza vipi kukana kudai serikali tatu, wakati unatoa maoni yanayodai kuwapo kwa mamlaka huru ya Zanzibar, mamlaka huru ya Tanganyika na mamlaka ya Muungano yaliyowekwa wazi maeneo, uwezo, nguvu, utendaji na mipaka ya kila mamlaka? Wanaokataa, wanakataa wanachokubali,


 
Mzeewabusara, kama na mimi ningekuwa mmojawapo wa wale wanaoing'ata kwa madaha keki ya Taifa, sijui kama ningekuwa mdomo wazi kupiga kelele!!!

upo msemo wa kikwetu unaosema hakuna mchwa asiyekula fito za nyumba lakini akila nguzo za nyumba amekufa
😛izza: kula kipande wabakishie wenzio
 
Tusikate tamaa, tukazane kwan ni kwa faida zetu na ndugu zetu kwan hizo mali wataziacha hakuna atakae fukiwa na mali zake.
 
Watanzania bana ukweli tunafaa kushukuru kwanza hii hoja ya katiba mpya imekuja mezani nikiwa na maana iko jikoni inashuhughulikiwa lakini nadhani kuna vipengele vingi sana vina faa marekebisho halafu hii system ya wenyewe kwa wenyewe wanakaa kwenye system ya serekali kama sio mtoto wa mjomba basi mtoto wa shangazi watanzania tuko milioni 42 sasa kama sijakosea kuna makabila zaidi ya 120, kwanini hakuna uwiano wa haki sawa jamani kama baba yako alikuwa na bus basi utabaki tu stand kizazi chako chote hili swala mlitazame sana vizuri mungu ibariki Tanzania na watu wake amiiin
 
Swala lingine ambalo linakera sana hili la madawa ya kulevya haswa Mirungi nchi jirani ambayo ni jumuiya ya Afrika Mashariki ndio zao lao kubwa linalowanufaisha wananchi wake, sisi tunayo pia ukanda wote wa usambara mountain imejaa lakini ndio yamewekwa kwenye kundi la madawa ya kulevya, tunaomba hii katiba mpya ipitishe hii miraa kwasababu side effects zake sio sawa na pombe, sigara, ambazo hizo zote ndio zinaongoza kumaliza kizazi chetu pamoja na wanadai ndio wanaongoza kulipa kodi kitu imeandikwa kabisa uvutaji wa sigara inazuru Afya yako hiyo haitufai na pombe hauziwi ukiwa chini ya miaka 18 si kweli.

Ndugu zangu Watanzani wenye mliojaliwa na mungu kukaa huko Dodoma na kutupambania sisi wanyoge jaribu kuangalia haya maoni yetu nashukuru asante
 
Je serikali tatu ni ghali kuliko hizi mbili tulizonazo hivi sasa?
1) Sasa mawaziri wa serikali ya Muungano ambayo inajuisha
(wa Tanganyika)mawaziri waasio wamuungano.. ni Takriban 60.
2)Mawaziri serikali ya muungano
(Shirikisho) watakuwa 10 na wale serikali ya Tanganyika 15. Jumla 25

Je? 60 na 25 ipi ghali?
 
sometyme mcmamo sahihi ndio maamuzi sahihi,wanaokurupuka kutoa maamuzi na kutaka wanayotaka wao bila kujua wananchi tunahitaji nn wanaiuza nchi yao kwa kutumia madaraka yao
 
Muhimu maslahi ya watanzania na sio idadi ya serikali lakini maamuzi ya wananchi ni vyema yajahehimiwa
 
Wengi tujifunze kufikiri kwa usahihi ...lasivyo no changes.
 
Fikra sahihi hujengwa na watu sahihi hatuna haja ya kukurupuka twende taratibu tutaipata katiba yetu tunayoihitaji. Tukumbuke pia wambili havai moja tumekua na changamoto nyingi katika serikali zetu hizi mbili ya muungano na ya mapinduzi ya z'bar kwahiyo kuongeza serikali ya tatu ni mzigo mwingine tunaoubeba huku akili zetu hazijawa tayari kwa hilo.

Nirahisi kusema twende huko kwenye serikali tatu, lakini je tuna watu sahihi waliojipanga kutupeleka huko binafsi siwaoni sio kutoka tz kwanza wala kutoka UKAWA so tufikirie kwanza majaliwa ya nchi kabla ya kuitumbukiza katika majanga tusiyoweza kujitoa tukumbueke kuwa problems can not be solved with the same level of thinking that cause the problem" kwa hiyo tukijiingiza huko wakututoa hata kuwepo.
 
wakishindwa kabisa kuipata katiba tuliyoitaka wananchi basi tunawaahidi tutaipata kwa hali nyngne. waache wavmbishe mitumbo yao ila siku yao nao inakuja.
 
Watanzania hiki ni kipindi muhimu kabisacha kuweka mshikamanona sio kulet uchonganishi katika huumcahakato wa kuipata katiba mpya kwa ajili yaustawi wa taifa letu
 
Bado katiba mpya wapitishe wanayo ipitisha lakini wajue niya ccm2.wala sio yawananchi kama wanataka muugano udumu selikali Tatu 3.haziepukiki kamwe.
 
Watanzania wachache mnataka kuiingiza nchi yetu ktk machafuko wakati hili jambo kwetu ni ndoto na haya yote yanasababishwa na uroho wa madaraka sasa kwa taarifa yenu nyie mnaojiita ukawa kuendesha nchi mstarajie hata chembe mtaishia kubwata kama mbwa alieuona mfupa wa nyama ccm ni ccm tu vyama vingine visubir kwanza
 
hawa ccm ni ebola kwa taifa letu tukufu na teule la tanzania hawana nia ya dhati ya kujenga nchi bali wanabomoa nchi yetu ila ipo cku watalia na kusaga meno mwanzo mwisho Sitta ni mnafiki ila ataumbuka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…