Wana jf nawapeni pole sana kwa misiba inayolikunba taifa letu. Kwanza nikwa mh. Regia Jembe la CHADEMA, umati tulioshuhudi ulidhihirisha ndie alikuwa chaguo la watu(kazi ya Mungu haina makosa). Pili nihli la mh. Sumari polen wanajf nawana arumeru.
Mada yangu nijuu ya upungufu wakatiba ye2 wanajf nimepata nafasi yakuisoma katiba japo siokwaundan ila vpenge vinavyohusu bunge na wabunge, katiba haijasema lolote juu ya mbunge mteule anapofariki bilakuapishwa inakuwaje au ndg zangu mmeona mnijulishe. Ingekuwa nikatiba iliyojitosheleza ingezungumza muda wambunge kukaa nje ya kiapo naninichakufanya. Tunataarifa sumari kwamwaka mzima hajaapishwa kutokana nakuumwa wala wananchi wa arumeru hawajapata uwakilish kwa muda wote huo.
Wana jf na wananchi kwa ujumla natoa wito tushiriki ktk mchakato wakatiba mpya wale wenye elimu ya sheria wachukue muda wao kuwa elimisha wananchi mapungufu yaliyopo kwenye katiba na wala tusikubaliane nahawa wabunge wa ccm ambao badala yakutoa elimu kwa wananch wanajitetea tu kuwa alichofanya rais ni sahihi kusain sheria yamchakato nakuisifia serikali yao hatunahaja namasifa yao tunataka ELIMU Jinsi yakuanda katiba itakayogusa mambo yote ya msingi na sio masifa yasionafaida kwetu NAWASILISHA!
Mada yangu nijuu ya upungufu wakatiba ye2 wanajf nimepata nafasi yakuisoma katiba japo siokwaundan ila vpenge vinavyohusu bunge na wabunge, katiba haijasema lolote juu ya mbunge mteule anapofariki bilakuapishwa inakuwaje au ndg zangu mmeona mnijulishe. Ingekuwa nikatiba iliyojitosheleza ingezungumza muda wambunge kukaa nje ya kiapo naninichakufanya. Tunataarifa sumari kwamwaka mzima hajaapishwa kutokana nakuumwa wala wananchi wa arumeru hawajapata uwakilish kwa muda wote huo.
Wana jf na wananchi kwa ujumla natoa wito tushiriki ktk mchakato wakatiba mpya wale wenye elimu ya sheria wachukue muda wao kuwa elimisha wananchi mapungufu yaliyopo kwenye katiba na wala tusikubaliane nahawa wabunge wa ccm ambao badala yakutoa elimu kwa wananch wanajitetea tu kuwa alichofanya rais ni sahihi kusain sheria yamchakato nakuisifia serikali yao hatunahaja namasifa yao tunataka ELIMU Jinsi yakuanda katiba itakayogusa mambo yote ya msingi na sio masifa yasionafaida kwetu NAWASILISHA!