Mzee Mwanakijiji:
Ingekuwa wachangiaji wetu wote hapa wanachangia objectively kama wewe, wakubwa wetu wengi wangekuwa wanakuja hapa na kujifunza maoni hasa ya wananchi, they're not necessarily correct lakini at least ni views zinazoweza kusikilizwa na wasomi, this is good and I encourage you and others to embrace this line of argument....wakubwa wengi for information tu wapo aware na JF ila honestly sina tena nguvu ya kuwahimiza wapite hapa kwani siku hizi 'upupu' ni mwingi wengi wao wakiingia siku mbili tatu wanalose interest kwa vile hamna hoja.... hivyo ni wito kuwa kama mnataka sauti zenu zisikike basi toeni kwa hoja na uchambuzi yakinifu sio kubwabwaja tu nk...