Inawezekana slay ikawa nzuri zaidi ya you againMungu akusaidie uzidi kuyapenda saaanah
Ila me nakutell bora hata hiyo Slay kuliko You again coz story haiko poah saanah
Mshawah kushare Mke? Manake una wivu na jamaaKi ukweli bora walivyoitoa, movie mbaya sana, story haieleweki, sauti mbovu , uigizaji ndo kabisa, what a waste of time, nadhan hii ilitengenezwa tu na wahuni wenye pesa zao wakajipenyeza na wao waonekane Netflix ila Naona ndoto zimegonga mwamba wakaishiwa kutolewa kutokana na ubovu wa film yenyewe
Halafu Idris sio muigizaji wa kwanza kutoka Tanzania kuonekana Netflix, Mimi Mars was kwenye movie inaitwa YOU AGAIN aliyoshirikishwa na wakenya, na hatukusikia hizi kelele za kwenye mitandao za hovyo, Idris mshamba sana na ana ile Tabia ya kujifanya he is exceptional kuliko wenzie. Kama akiendelea hivi ataishia tu kuwa comedian wa Instagram
Poah ila You again waliiboronga vibayaInawezekana slay ikawa nzuri zaidi ya you again
Lakini kwa sasa you again ni nzuri kwangu,kwasababu sijaona slay
Hawa vijana wa Kitanzania wana wivu sana.Wewe babu achana na mambo ya vijana,siyo tabia njema!
Naulaani umaskini kwa nguvu zote.Laani umasikini mdau ndio unasababisha yote haya
Wewe ulijuaje kuwa ilisifiwa sana social media?Hatukusema mwanzoni wapi ? Movie imetoka hata wiki haina sasa tungesema wakat hatujaona kazi yenyew?
Hivi mtu unaanzaje kudiss hustle ya mtu alie onyesha juhudi kubwa kufanya jambo??..Ki ukweli bora walivyoitoa, movie mbaya sana, story haieleweki, sauti mbovu , uigizaji ndo kabisa, what a waste of time, nadhan hii ilitengenezwa tu na wahuni wenye pesa zao wakajipenyeza na wao waonekane Netflix ila Naona ndoto zimegonga mwamba wakaishiwa kutolewa kutokana na ubovu wa film yenyewe
Halafu Idris sio muigizaji wa kwanza kutoka Tanzania kuonekana Netflix, Mimi Mars was kwenye movie inaitwa YOU AGAIN aliyoshirikishwa na wakenya, na hatukusikia hizi kelele za kwenye mitandao za hovyo, Idris mshamba sana na ana ile Tabia ya kujifanya he is exceptional kuliko wenzie. Kama akiendelea hivi ataishia tu kuwa comedian wa Instagram
Itolee ufafanuzi hiiHivi mtu unaanzaje kudiss hustle ya mtu alie onyesha juhudi kubwa kufanya jambo??..
Hivi unajua tabia kama yako ndo ilifanya kuwe na wachawi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Papaa taratibu,hii muvi imesifiwa na Kikwete,Surely hata kama haina viwango vya hollywood,lakini ipo juu ya bongo muvi,Ki ukweli bora walivyoitoa, movie mbaya sana, story haieleweki, sauti mbovu , uigizaji ndo kabisa, what a waste of time, nadhan hii ilitengenezwa tu na wahuni wenye pesa zao wakajipenyeza na wao waonekane Netflix ila Naona ndoto zimegonga mwamba wakaishiwa kutolewa kutokana na ubovu wa film yenyewe
Halafu Idris sio muigizaji wa kwanza kutoka Tanzania kuonekana Netflix, Mimi Mars was kwenye movie inaitwa YOU AGAIN aliyoshirikishwa na wakenya, na hatukusikia hizi kelele za kwenye mitandao za hovyo, Idris mshamba sana na ana ile Tabia ya kujifanya he is exceptional kuliko wenzie. Kama akiendelea hivi ataishia tu kuwa comedian wa Instagram
🤣🤣🤣Hawa vijana wa Kitanzania wana wivu sana.
Huyu lazima mnafahamiana binafsi.Ki ukweli bora walivyoitoa, movie mbaya sana, story haieleweki, sauti mbovu , uigizaji ndo kabisa, what a waste of time, nadhan hii ilitengenezwa tu na wahuni wenye pesa zao wakajipenyeza na wao waonekane Netflix ila Naona ndoto zimegonga mwamba wakaishiwa kutolewa kutokana na ubovu wa film yenyewe
Halafu Idris sio muigizaji wa kwanza kutoka Tanzania kuonekana Netflix, Mimi Mars was kwenye movie inaitwa YOU AGAIN aliyoshirikishwa na wakenya, na hatukusikia hizi kelele za kwenye mitandao za hovyo, Idris mshamba sana na ana ile Tabia ya kujifanya he is exceptional kuliko wenzie. Kama akiendelea hivi ataishia tu kuwa comedian wa Instagram
Take it easy mkuu, life is too short!!Mwanaume anayeandika hivi namuona kama mama,
Nisamehe mkuu.