Movie na Macelebrity ambao sidhani Kama watakuja kutokea Tena!

-Double J
(Jey plus)
-Comando yosso.(yeye kama yeye)
-Sabrina. (monalisa)
N.k
Misuko suko mbona hujaiweka?

Humo jama kaonesha ufundi wake kutumia meno kuliko hata suarez
 

Aah umenikumbusha hiyo The One ya Jet Lee ni hatari sana hii kitu. Kuna mkono wa kiwango cha bombadier

Huyu jamaa (Jet Lee) ni kama alikua underrated kimtindo ila alikua ana movie kali sana those days.

Tai chi, The bodyguard from Beijing, The one, My father is hero, Romeo must be die etc
 
The diary of a mad black woman(hellen) the best movie of all times
 
Indian Movies Je Mzee
3 Idiots
Kuch Kuch Hota Hai
 
Mimi nilianza kumwelewa kwenye the bodyguard, halafu na ile black mask. Jamaa alikuwa anatoa mkongoto wa haja hatari tupu. Ila mimi napenda yule jamaa wa Hong Bak 2 na thai martial arts. Yani kila pigo lina energy yani hatari tupu weka mbali
 
1. Michael Jackson,
2. Mr. Bean,
3. Whitney Houston,
4. Rambo,
5. Culture Me.
 
Gods must be crazy part 1 /3
Crazy safari.
Yankee Zulu.(Leon Schuster)
Mr bones 1&2(Leon Schuster)
Neria
Deadly voyage(Omar epps)
Drunken master (Jackie chan)
Girlfriend (bongo movie)
Appocalypto

Sema mleta mada apo kwa huyo " spaida Mani" mtoe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…