MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Hivi Jeeper Creeppers umeiona ??Mambo ya series za X-files, Bones, CSI Miami na CSI new york sio!?...
Me ukitoa sci-fi napenda sana Action pia ila hizi series za Horror naaangalia nikikosa cha kuangalia aseh
Hahaa!!...hizi movie zinavutia sana kuzifatilia maana visa vyake ni continuous kuna kama ile Movie series ya Insurgence inabadilishwa majina sana mpaka nikashindwa endelea nayo kuifatilia.Hahahaha mimi mdau sana sanaaa,
Nakumbuka kuna kipindi niliwahi hadi kugombana na mtu fulani nyumbani wakisema nimezidi.
Hizi ni Action crime and drama.mission impossible
john wick
acts of vengeance
hitman
golden circle
Evelyn salt
white house down
lone survivor
the punisher hii ni series fupi ya 2017and the like....
mtazi categorize wenyewe mi nimemaliza
Kuna Star Wars Last Jedi ipo out tayari!!..Hahahaha ila Darth Vader ni nyang'au aiseee!
Kwenye Rogue One ya mwaka juzi nakumbuka mwishoni kabisa liliongia kuwashughulikia The Resistance....
Liliwashikisha kichapo cha haja huku linatembea kama libwana Harusi fulani hivi...Wanapiga risasi linatumia Force Freeze kuzuia. Hata Chancellor Palpatine hafiki kwa Vader!
Me napoangalia movie siangalii ushawishi wake tu, naangalia na technology iliyotumika kuitengeneza mambo ya CGI nayapenda sana!!..
Halafu unajua Matrix deal lingekuwa la Will Smith kuigiza lakini akawagomea ili aigize Wild Wild West!.. Matrix wanaponichanganya ni ile ya Mwisho Nero anapojisacrifice ili Kurestart the Program halafu haieleweki kaenda wapi!!..best of the best is matrix..
mkuu Malcom Lumumba angalia hii kitu. ndo movie iliyobadilisha maisha ya cinema zote za super hilo.. Franchise yake si ya kitoto...
Nimeicheki mazee.....!Kuna Star Wars Last Jedi ipo out tayari!!..
Nilianza zifatilia hizo lakini ikafika kipindi nikapoteza External yangu, kuna hizo na zile stargate series!..Hawa ni Characters kwenye Star Trek Franchise.
Ilikuwa ni The Most Ruthless Intelligence Organisation within The Galaxy.
Shughuli yao ilikuwa siyo ya mchezo mchezo yanii, walifanikiwa kuwafanya wanasiasa waogope kuingilia Mambo ya Usalama. Wanasiasa na hata wanajeshi wakisikia kwamba System fulani iko chini ya Usimamizi wa Obsidian Order walikuwa wanajifikiria mara mbili mbili kabla ya kuleta Ujinga wowote. (Ni za zamani sana lakini nzuri vibaya)
Hahaha nimeziona aseehh!!...Ule uuwaji ndio ambao sasa siwezi fatilia kwa kweli!!..Hua naanza watukana actors as if wananisikia[emoji23].Hivi Jeeper Creeppers umeiona ??
Hahaha!!...af unajua smigol ni yule cumberbach star wa doctor strange, au khan kwenye Star trek/sherlock holmes!!...CGI za Lords of the Rings ni funga kazi aisee!
Hivi kama yule Gollum (Smeagol) niambie walivyompatia...!
Need for speed imezidiwa hata na Gone in 60 seconds ya Nic Cage miaka hiyoo!!..Need for Speed
Halafu unajua Matrix deal lingekuwa la Will Smith kuigiza lakini akawagomea ili aigize Wild Wild West!.. Matrix wanaponichanganya ni ile ya Mwisho Nero anapojisacrifice ili Kurestart the Program halafu haieleweki kaenda wapi!!..
Dah hii mpya naiona tu ya mwisho ni ile ya mwaka juzi/jana ndio nimeiangalia aseh!!..Nimeicheki mazee.....!
It hurts to know this will be the Last Time we see Carrie Fisher...(Senetor Leia Organa)
Star Gate ambayo niliangalia mwisho kabisa ni The Ark of Truth nikajaribu kuangalia ile Series ya Star gate Atlantis nikaona imekosa kabisa ubunifu wa zamani nikaachana nayo..!Nilianza zifatilia hizo lakini ikafika kipindi nikapoteza External yangu, kuna hizo na zile stargate series!..
Hahaha!!..wanasumbua sana mure!.Hia nikiiangalia naikumbuka Ringo tu![emoji23]Hahahaha Wild Wild West,
Kuna iles sehemu Raisi Grant alikuwa anafungua Reli akagonga Msumari akasema ghafla Dr Loveless akaja na Ule M-Talantula wake akasema "Isn't it General Ulysses Grant himself" hhahahaha ile movie bwana...!
Hahahaha hivi ni Cumberbatch yule...Hahaha!!...af unajua smigol ni yule cumberbach star wa doctor strange, au khan kwenye Star trek/sherlock holmes!!...
Yani hiyo Lord of the Ring na War Craft wamemaliza CGI zao si mchezoo!!..
True na hicho ndio nilichokiona kwenye Walking Dead baada ya season 6 unaona kabisa hakuna jipya!!..Star Gate ambayo niliangalia mwisho kabisa ni The Ark of Truth nikajaribu kuangalia ile Series ya Star gate Atlantis nikaona imekosa kabisa ubunifu wa zamani nikaachana nayo..!
Hahaha nimeziona aseehh!!...Ule uuwaji ndio ambao sasa siwezi fatilia kwa kweli!!..Hua naanza watukana actors as if wananisikia[emoji23].
Umeiangalia SAW mpya me nikiikuta naipita tu kuipakua.
Hahaa!!...Ndiye jamaa mwenyewe, kampatia sana!..Hahahaha hivi ni Cumberbatch yule...
The Preciouuuus......!Sikuwahi kujuaa daah!