Movie Reviews

Movie Reviews

Hebu niwekeeni movies alizo-act Mike Tyson hapa naona zina mzuka kiasi.

Nilizoziona ni Ip Man III, Kick Boxer Retaliation, Kick Boxer Vengeance, China Salesman nyingine skumbuki. Hebu ziwekeni wandugu.

Thanks.
 
Ila kwa sci-Fi nlioipenda kidogo ni star wars kina dath vader,obi wan kenobi na anakin skywalker si mchezo!
Hahahaha ila Darth Vader ni nyang'au aiseee!
Kwenye Rogue One ya mwaka juzi nakumbuka mwishoni kabisa liliongia kuwashughulikia The Resistance....
Liliwashikisha kichapo cha haja huku linatembea kama libwana Harusi fulani hivi...Wanapiga risasi linatumia Force Freeze kuzuia. Hata Chancellor Palpatine hafiki kwa Vader!
 
Movie za Sci-Fi nazozikubali ni nyingi sana sanaa sampuli chache ni hizi:
1.Batman:The Dark Knight (Joker tu ndiye ananiua)
2.Terminator 2: Judgement Day
3.Total Recall (Colin Farrel)
4. Pitch Black: Chronicles of Riddick
5. Star Wars- Revenge of the Sith
6. Equillibrium
 
Walikuwepo kwenye star trek ama nimechanganya...... Nipe mwanga hilo jina tu linaongea mengi lazima sio wa mchezo mchezo hao 😀😀😀
Ewaaaaaaa, hao hao!
Ilikuwa ni Intelligence Organization moja siyo ya mzaha mzaha.
Walikuwa wako wanafanya kazi kama seli za mwili yaani....No Politics no Jokes.
Ukizingua tu uwe mwanaisasa au nani wanakupoteza hapo hapo.....Wanasiasa walikuwa wakisikia kwamba The Obsidian Order wanasimamia kitu walikuwa wanakuwa wapole na hawagusi kabisa. Mara ya kwanza walikuwa ni Para-Military Organization wakanyanganywa meno kwasababu walikuwa hawachezi na wanasiasa kabisa. Wakisema hapana ni hapana..Sasa wewe kimwana siasa jifanye unaleta risala zako wanakuchinjia baharinii......

Bwhahahahaha,
They were Just Perfect.. Kama kuna nchi ina Intellijensia ya vile basi itatawala dunia nzimaaa.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
best of the best is matrix..
mkuu Malcom Lumumba angalia hii kitu. ndo movie iliyobadilisha maisha ya cinema zote za super hilo.. Franchise yake si ya kitoto...

@Palantir Prometheus ilikuwa nzur kuliko hii Alien Convinant, Alien Convinant ilikaa ki action zaid. Wakati mission ilikuwa kutafuta chanzo cha human kind...

Hahaha, nimeziona miaka mingi iliyopita.
Agent Smith namkumbuka vizuri shughuli yake!
Agent_Smith_(The_Matrix_Reloaded).jpg
 
Mkuu inahusu nini hii maana napenda sana zile movie zinakuwa na suspende mwishoni!..

Hawa ni Characters kwenye Star Trek Franchise.
Ilikuwa ni The Most Ruthless Intelligence Organisation within The Galaxy.
Shughuli yao ilikuwa siyo ya mchezo mchezo yanii, walifanikiwa kuwafanya wanasiasa waogope kuingilia Mambo ya Usalama. Wanasiasa na hata wanajeshi wakisikia kwamba System fulani iko chini ya Usimamizi wa Obsidian Order walikuwa wanajifikiria mara mbili mbili kabla ya kuleta Ujinga wowote. (Ni za zamani sana lakini nzuri vibaya)
 
Haahaaa tuko tofauti kidogo mimi naonaga Science fiction kama too much of fantasy hivyo sizikubali kihivyo maana teknolojia ya humo za ajabu mara mtu anaweza ku-video call na "the future"?? Mara mtu anaweza kurudi back in time let alone silaha zinazotumika humo too much fantasy

Movie nazopenda ni zile crime thriller hasa zenye kuonyesha jinsi ya wanausalama na forensic investigators wanavyo tegua vitendawiili vya uhalifu bila kusahau a lot of hacking zipo involved humo dah burudani tupu napenda sana movie za kufikirisha hivyo jinsi watu wanavyowekeza akili kwenye kutatua matatizo

Ila kwa sci-Fi nlioipenda kidogo ni star wars kina dath vader,obi wan kenobi na anakin skywalker si mchezo!
Mambo ya series za X-files, Bones, CSI Miami na CSI new york sio!?...
Me ukitoa sci-fi napenda sana Action pia ila hizi series za Horror naaangalia nikikosa cha kuangalia aseh
 
Ni nzuri ila hazina reality yaani hazishawishi, kuanzia marvel comics pote labda black panther tu ila nyingine naona kama za kudanganya watoto mf Captain america winter soldier
Me napoangalia movie siangalii ushawishi wake tu, naangalia na technology iliyotumika kuitengeneza mambo ya CGI nayapenda sana!!..
 
Back
Top Bottom